Saturday 10 August 2013

HAYA SASA DIAMOND KAFANYA TENA MAMBO MOMBASA AWAACHA BADO NA KIU



Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kumaliza mfungo
huu wa Ramadhani pia kutuweka salama hadi leo...
Sikukuu yangu nimeilia nchi Kenya lakini nilikuwa na
kibarua kukonga nyoyo za maelfu ya mashabiki zangu
jijini Nairobi.Kwangu hii ilikuwa mara ya pili kufanya show
 kenya,lakini ni mara ya kwanza kabisa
kufanya show jijini Nairobi,kutokana na kiu ya mashabiki
 zangu nchini humo nikaona zawadi ya Eid hii
iwadondoke wao.....It was crayzz yanii niliposhuudia umati wa
 watu wakiimba nyimbo sambamba na mimi,na kufurika hadi getini
kiukweli nilifurahi sana kwa hali iliyokuwa usiku wa jana.....
Nikiwa na team yangu nzima ya wasafi,stejini na
silaha zangu 4 hatari kwenye Mashine alikuwepo
Dj Rommy Jones kama kawaida stage manager
Qboy msafii alikuwepo kuhakikisha usalama upo saawia kabisa.....!!

UNAWEZA CHEKI PICHA KADHAA ZA TUKIO ZIMA
 LA SHOW NCHINI KENYA
KWENYE SIKUKUU YA EID...
..
Backstage nikisubiria go ahead nikafanye maujanja yangu kwa steji...
Ajajajaja....hapo sasa,ndo vile twafanyaga kwa jukwaaaa.....

Qboy Msafii & Dj Rommy Jones...

Ebhana eeeh watu bado wanataka niendeleee.....mpera mpera
 tu,afe kipa afe beki lakini ushindi lazima


Siwasiki watu wangu wa Nairobi.....nimekuja kuwabamba ile mbaya....
Tumeelewana watu wangu wa kweli........Mi naona kama muda umeisha vile....
Si ndo mashetani ya kigoma yakapanda ni kuanza kuwapelekea
kama Bongo tu...

No comments: