Monday 29 April 2013
Child Soldiers Used by Central African Republic Rebels
Elephant
Poaching on the Rise
Children are the subject of
widespread human rights violations by the Seleka rebel coalition in the Central
African Republic (CAR), the United Nations News Service reported on Thursday.
Among the allegations by a senior
U.N. official are reports are killings, sexual violence, and the use of child
soldiers in the Seleka rebellion against CAR. Additionally, there are reports
that elephants in the protected Dzanga-Sangha area are increasingly being
poached, according to the Associated Press.
Here's a closer look at the report
and the crisis in CAR.
Armed and uniformed children seen on
military duties
Leila Zerrougui, the
Secretary-General's Special Representative for Children and Armed Conflict,
said that uniformed and armed boys had been seen at checkpoints and
participating in looting in every town controlled by the Seleka coalition.
"I call on all military commanders in charge of the different armed groups
in the Séléka coalition to immediately release children within their ranks and
to issue command orders to refrain from further recruitment and use of
children," she said, according to the U.N. News Center.
In addition, cases of rape and
sexual violence against girls has been reported to the U.N., and 2 million
children are in need of humanitarian assistance due to the ongoing violence in
the country.
Bombardment of residential areas
killed 29 children in one week of the crisis.
Poaching increases in protected
region
The World Wildlife Federation's head
of anti-poaching policy, Bas Huijbregts, said that "elephant poaching is
on the increase and given the fact that Central African Republic for the moment
is also in dire straits we are fearing for the worst in terms of people trying
to look seriously for ivory," according to the AP.
Huijbregts attributed the
lawlessness to the increased poaching, which saw 40 elephants killed after
rebels overthrew the government. However, the WWF says it isn't possible to
know how many elephants have died due to a lack of forest patrols.
The rainforest preserve is in the
southwestern region of the country, where 3,400 forest elephants live.
A report from Reuters indicated that eight conservation groups were meeting in Brazzaville,
Republic of the Congo, to try to find ways to curb the poaching epidemic.
Poaching of elephants is fueled by a demand in Asia for ivory which has killed
an estimated 20,000 to 30,000 elephants in Africa per year.
Shawn Humphrey is a former
contributor to The Flint Journal and an amateur Africanist, focusing his
personal studies on human rights and political issues on the continent.
Wednesday 24 April 2013
NIMEMWAMBUKIZA MWANANGU UKIMWI KUTOKANA NA UMASIKINI WANGU.....
Ukimsikiliza Zaituni Ally (35) anayeishi
na virusi vya ukimwi (VVU) kwa miaka saba sasa, machozi yanaweza
kukutiririka mashavuni.
“Nakula mlo mmoja kwa siku siku nyingine nalala na njaa,”alisema Zaituni.
Siyo hivyo tu. Zaituni ana watoto watatu
wenye umri wa miaka 9, 5 na miezi mitatu. Alimzaa mtoto wake wa
kwanza, ambaye hivi sasa yuko Mtwara kwa dada yake, akiwa hana
maambukizi lakini alijifungua mtoto wa pili na watatu akiwa
ameshagunduliwa kuwa na VVU.
Hivi sasa mtoto wake wa pili naye anatumia dawa za ARV. Amegunduliwa kwamba ana VVU, japokuwa alipozaliwa alikuwa hana.
Zaituni anasema alipewa maelekezo ya namna ya kumtunza mtoto wake kila alipokwenda kliniki.
“Nilifurahi sana kuambiwa mtoto wangu hana maambukizi alipozaliwa. Niliambiwa nimlee vyema ila cha msingi nilitakiwa kumtengea vifaa vyake vya kutumia kama wembe na sindano,” alisema Zaituni
Ni vigumu kujua lini mtoto huyu alipata maambukizi lakini hali yake iligundulika baada ya kufikisha miaka minne.
Na japokuwa ni vigumu kujua namna alivyoambukizwa, maisha ya Zaituni yanatoa ushahidi wa aina Fulani. Hana mume kwa sababu baba ya watoto wake wapili wa kwanza alimuacha baada ya kugundua mama na mtoto wana VVU.
“Umasikini wa kipato ndio umechangia kumuambukiza mtoto wangu virusi vya ukimwi,” alisema Zaituni, huku akibubujikwa na machozi shavuni.
Afisa habari kutoka tume ya kudhibiti ukimwi nchini (TACAIDS) Glory Mziray anasema kuwa, tatizo la Zaituni kukosa chakula na watu wengine wenye tatizo kama lake, wanatoapesa katika kila halmashauri zote nchini ili, kuwawezesha kufanya muitikio wa kudhibiti ukimwi kwa kuwashirikisha watu wanaoishi na virusi vya ukimwi.
Mziray alisema kuwa wilaya inatakiwa kupanga na kujua kuna waathirika kiasi gani na kuwapatia mahitaji mbalimbali wanayowahitaji, kwa mfano chakula, mavazi,elimu kwa jamii juu ya kujikinga na virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
“Haki za watu wanaoishi na virusi vya ukimwi na ukimwi vinajumuishwa na kulindwa katika kila sekta, pia kuna mkakati na sera kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi wa mwaka 2008 hadi 2012, ili kuweza kuratibu watu hao katika kila sekta, maana watu wanaoishi na virusi vya ukimwi wako katika kila sekta hapa nchini, pamoja na kuunda baraza la watu wanaishi na virusi vya ukimwi ili waweze kujadili haki zao na kuzitatua,” alisema Mziray
Mziray alisema kuwa kila mwaka wanatumia Bilioni 15.5 pesa za kuthibiti ukimwei, pia pesa hizo zinapelekewa katika kila halmashauri kulingana na mahitaji hali ya halmashauri husika, lengo kubwa ni kuhakikisha kuwa wanapambana na maambukizi mapya na kuwapatia mahitaji ya muhimu kwa watu wenye virusi vya ukimwi, hata nchi nyingine kama Kenya, Uganda,Rwanda nao wanawapatia pesa halmashauri husika kudhibiti ukimwi kama tunavyofanya hapa nchini.
Katika Kitabu cha pili cha mkakati wa taifa wa kudhibiti ukimwi cha mwaka 2008 hadi 2012 kinaeleza kuwa, kuhakikisha uwianishaji kwa ukamilif wa changamoto zinazohusu janga la ukimwi katika sera na mipango mikuu ya maendeleo ya muda mrefu, kwa kuzingatia athari mahususi kwa watu wanaishi na virusi vya ukimwi na ukimwi, familia zao zilizoathirika pamoja na masuala yanayohusu jinsia na umasikini.
“Ningekuwa na pesa ya kununua wembe, sindano, chanuo na sabuni mtoto wangu asingepata maambukizi. Lakini hata pesa ya kununua unga na mboga ni tatizo kwangu; nitawezaje kupata pesa ya kununua vifaa mmbalimbali vya kutumia mtoto pekee yake? Kikubwa ninachoangalia ni watoto kupata chakula.”
Akikosa kabisa chakula, Zaituni analazimika kutumia dawa zake za ARVs hivyo hivyo na kumuombea mtoto wake chakula kwa majirani ili asiregee na dawa anazotumia.
Mtoto wa pili wa Zaituni hajui kwa nini anapewa dawa kila siku. Anasema mama yake anampatia dawa asubuhi na jioni; muda mwengine akisahau, inabidi amkumbushe
Mtoto huyo alisema kuwa mama yake alimwambia akinywa dawa hiyo ndio anakua haraka. Pia, aliongeza kwa kusema kuwa anaamini akifikia umri wa kuanza shule akuwa na akili nyingi shuleni kutokana na dawa hizo.
Maamuzi ya kumpeleka wake wa kwanza kwa dada yake yalimsaidia mtoto huyo kutopata maambukizi ya virusi vya ukimwi, mwaka 2006 alianza kliniki na kupimwa akakutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Kwa wakati huu, Zaituni bado hajui kama mtoto wake watatu ana maambukizi ya VVU; amemleta katika hospitali ya wilaya ya Nachingwea kupima.
“Sina hakika kama naye atakuwa vema bila ya kupata maambukizi, maana huyu kaka yake amezaliwa mpaka anamaliza kunyonya hakupata maambukizi, alipofika miaka minne aligundulika na maambukizi ya virusi vya ukimwi,” alisema Zaituni.
Kwa mujibu wa Kaimu Mratibu wa ukimwi wilaya ya Nachingwea Dokta Khadija Komba zaidi ya watoto 458 wameambukizwa virusi vya ukimwi, pengine katika mazingira ya kuchangia nyembe, chanuo na sindano za kutolea funza na mzazi au na mzazi mwenye virusi kwa kugusuna kama ana mchubuko mwilini.
Watoto 458 waliozaliwa na mama wenye VVU, mpaka wanafikisha miezi 18 walikuwa hawana maambukizi ya virusi vya ukimwi, inawezekana wamepata maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa kutumia vitu vya ncha kali pamoja na mama zao kwa kipindi cha miaka mitatu.
Jumla ya watoto 200 wanatumia dawa za ARVs, kati ya hao watoto wa kiume 90 na watoto wa kike 110, pia watoto 258 bado hawajaanza kutumia dawa za ARVs, kati ya hao watoto wa kiume 118 na watoto wa kike 140, kwa sababu kinga za mwili kuwa juu. Kama mtoto kinga yake ya mwili iko chini anapatiwa dawa kuanzia umri wa mwezi mmoja hadi miaka 14.
Dokta Komba alisema kuwa watoto kuanzia mwezi mmoja hadi miaka 14 wanapewa dawa aina ya AZT 390, niverapin na seprin mpaka wanapoacha kunyonya, dawa hii wanayopewa inasaidia kudumaza wadudu wa virusi vya ukimwi wasizaliene kwa wingi kwa mtoto.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Hussein Mwinyi, alisema kuwa mwaka 2011 jumla ya vituo 1,660 vinavyotoa huduma za (PMTCT) vilianza kutoa huduma za utambuzi kwa kutumia sampuli kwenye hospitali za rufaa.
Idadi ya watoto waliopatiwa huduma hiyo imefikia 18,231 kwa mwaka 2009 na watoto 22,033 kwa mwaka 2010 na 27, 245 kwa mwaka 2011. Kwa sasa tumefikia asilimia 26 ya kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi lengo ifikapo 2015 ifikie asilia 4 ya maambukizi.
Kwa upande wake Muuguzi Mkunga anayewapima watoto wakiwa chini ya miezi 18 Evarist Chingwuile, alisema kuwa mtoto anapozaliwa na mama mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi anapewa dawa za AZT390 na niverapin kwa muda wa miezi 18.
Chingwuile alisema kuwa akiwa na miezi miwili anapimwa antijen katika sehemu ya unyayo kujua kama anamaambukizi au hana maambukizi, wakishamtoa damu inapelekwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Majibu yanarudi baada ya wiki mbili, wakati wote huo mtoto anaendelea na dawa, mtoto akiachishwa kunyonya, anapimwa kumuangalia kama anamaambikizi, kama anamaambukizi anapimwa na kinga ya mwili kama iko chini anaendelea kupewa dawa ya niverpin na seprin na kumuamishi katika kituo cha ctc.
Dokta Debora Kayoka meneja wa mradi wa kumkinga mtoto asipate maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nchini, alisema mashine za kumpima damu ya mtoto ili kujua kama ana maambikizi au hana kwa hapa nchini, mashine hizo zipo katika hospitali za rufaa tu, kama hospitali ya Mbeya, hospitali ya Bugando, hospitali ya Kcmc na hospital ya Muhimbili.
Mashine ya (DNA-PCR) ambazo zinatumika kujua kama damu ya mtoto inamaambukizi mashine hizi zinauzwa kwa gharama ya dola ya Kimarekani 35,000 hadi dola 45,000, serikali ya Tanzania imepewa ufadhili na mfuko wa Bill Cliton Fundation.
Kwa sasa nchini Tanzania tunawataalamu wa kupima damu ya mtoto wa umri wa miezi miwili kwa kutumia mashine hii ya DNA-PCR wako wangapi 22 na wamesomea kozi za maabara Kwa muda wa miaka miaka 3, kwa kiwango cha degree,mashine hizo kwa hapa nchini zipo 10.
Chingwuile alisema kuwa kwa mwaka 2012 wanawake wajawazito waliofika kliniki kupima waliku 1,614 kati hao wasiona maambukizi ni 1565, wenye (VVU) 49, wanaume walipima na wake zao wakati wa ujauzito ni 26.
Wanaendelea na dawa ambao wana watoto wa changa ni 14. Pia mimba za utotoni 86 na wajawazito 14 wanatumia dawa hizo za kumkinga mtoto asipate na maambukizi.
Watoto wote waliozaliwa na wamama wenye virusi vya ukimwi hawana maambukizi ila mama anapojifungua salama tunamuuelekeza jinsi ya kumtunza mtoto asimuambikize virusi.
“Tunamuelimisha mama kutotumia nyembe, sabuni, sindano na chanuo pamoja na mtoto wake, anatakiwa kutunze vizuri mtoto wake kwa kumuandalia vifaa mbalimbali vya kwake kama wembe, sindano, sabuni na chanuo ili asimuambukize (VVU),” alisema Chingwuile.
Alisema kuwa baada ya miaka miwili au mitatu mama anapokuja kliniki mtoto anaanza kuumwa homa za mara kwa mara, ukimpima unamkuta mtoto amemuambukiza virusi vya ukimwi wakati alipojifungua unamuelimisha jinsi ya kumtunza mtoto ana anapokuja kliniki kila mwezi.
“Wengi husema hali ngumu ya maisha wanashindwa kununua wembe wa peke yake na mtoto akinunua wembe anatumia na mtoto wake kama kumkata kucha kumtoa funza na kumyoa nywele na kumpa vyakula akiwa chini ya miezi sita pia kunasababisha kumuambukiza virusi vya ukimwi,” alisema Mkunga Chingwuile.
Kwa upande wake mkurugenzi wa wilaya ya Nachingwea Mwanamvua Mrindoko alisema kuwa, kila mwaka wa fedha Tume ya kuthibiti ukimwi nchini wanawapatia shilingi milioni 80 kwa ajili ya mapambano ya virusi vya ukimwi laki kwa mwaka huu wa fedha mpaka sasa wamepokea shilingi milioni 20 tu bado shilingi milioni 60.
Mrindoko alisema kuwa pesa hizo wakizipata wanazitumia kwa, Kuwajengea uwezo kamati mbalimbali za ukimwi za kata. Kwa sasa wilaya ina kamati 32, pia wanawalipia ada ya shule wanafunzi waliotoka katika familia zilizoathika na ukimwi na wanafunzi wanaishi na virusi vya ukimwi na ukimwi ambao wako 438 wa shule za sekondari.
Aidha alisema kuwa zaidi ya milioni 20 inatumika kuwalipia ada wanafunzi hao wenye maambukizi ya ukimwi na ukimwi katika shule mbalimbali kuanzia kidato cha kwanza mpaka chuo kikuu.
Pia wanatoa lishe kwa wanafunzi wapata 15 wa shule ya sekondari na wanafunzi 20 wa shule ya msingi, vile vile wanatoa lishe kwa wagonjwa wenye ukimwi ambao hawajiwezi majumbani, kuwezeshwa katika miradi mbalimbali kama kutunza mazingira, kutengeneza lishe na vikoba.
Mrindoko alisema kuwa idadi kubwa ya watoto wanafunzi wanaishi na virusi vya ukimwi na wenye ukimwi katika wilaya hiyo, imetokea mwaka 1990 hadi 1998 kwa sababu kulikuwa bado hakuna dawa ya kumkinga mtoto asipate maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Kwa sasa zaidi ya watu wenye 4,625 kati ya wakazi 17,00,000.
“Changamoto kubwa sana wanayoipata ni pesa kuwa finyu ukilinganisha na idadi kubwa ya maambukizi mpya ya ukimwi siku hadi siku katika msimu wa korosho na ufuta, pia uwepo wa machimbo ya madini Kiegei pamoja na makambi makubwa matatu ya kijeshi kuwepo katika wilaya hiyo na inasemekana wanajeshi hao wanafanya ngono zembe katika wilaya hiyo,”alisema Mrindoko
Kufuatia ufinyu wa bajeti na kuchelewa kufika muda muafaka, waathirika wengi hasa vijiji ambako kuna kata 26 za wilaya hiyo wanakosa huduma muhimu kama lishe na kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili waweze kujitegemea wenyewe katika kupata chakula, wanaiomba tume ya kuthibiti ukimwi nchi kuwaongea bajeti ya wilaya ya Nachingwea kutoka shilingi milioni 80 hadi ifike shilingi milioni 100.
Kwa mujibu wa kitabu kilichochapishwa kwa hisani ya Amref na Watu wa Marekani mwezi Julai mwaka 2007 na kusainiwa na Katibu Mkuu Mukama, ambacho kinaelezea muongozo kwa mama mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi kulimsha mtoto asiye na maambukizi , kunaweza kumuambukiza virusi hivyo.
Kitabu hicho kinaeleza kuwa mwanamke anayeishi na (VVU), anaweza kumuambukiza mtoto wake akiwa na ujauzito,uchungu na wakati wa kujifungua na wakati wa kunyonyesha.
Kama mama mjamzito hajapima (VVU), hawezi kufahamu kama anaishi na VVU. Hivyo ni muhimu wanamke mjamzito na wanaonyonyesha kupima ili kutambua hali yao ya maambukizi ya (VVU) na kupata ushauri wa jinsi ya kuwakinga watoto wao na maambukizi ya (VVU).
Mama anaishi na(VVU), damu na maziwa yake huwa na (VVU). VVU kutoka kwa mama vinaweza kwenda kwa mtoto wakati wa mimba, hususan wakati wa uchungu na kujifungua, wakati mtoto anapogusana na damu au majimaji ya mwili wa mama yeke. Ikiwa mama ananyonyesha (VVU) kwenye maziwa yake vinaweza kupita kwa mtoto.
Dokta Hussein Mwinyi alitoa ufafanuzi katika siku ya ukimwi duniani iliyofanyika katika Mkoa wa Lindi, hali halisi ya maambukizi kwa wanawake wajawazito hapa nchini kwa waka 2011, 86,875 walipatiwa dawa za ARVs kuzuiya maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Sawa na asilimia 71 ya wajawazito 122,146 waliokadiriwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi, asilimia ya wajawazito kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi imeongezeka mpaka kufikia asilimia 62 ukilinganisha na mwaka 2005 kulikuwa na asilimia 9 ya wajawazito wapatao 11,435 waliopatiwa huduma hii.
Kaimu Mganga mkuu wa Wilaya dokta John Sijaona alisema kuwa, tatizo la watoto wa chini ya miaka 15 kupata maambukizi linatokana na elimu duni kwa wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na ugumu wa maisha mama anashindwa kutenga vifaa mbalimbali vya kutumia mtoto wake na kusababisha kumuambukiza virusi vya ukimwi.
“Mama akipewa elimu ya kutosha jinsi ya kumtunza mtoto aliyemzaa asimuambukize virusi vya ukimwi itasaidia kupunguza maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, lakini ugumu wa maisha nao unachangia mama kushindwa kumudu kununua nyembe, chanuo na sindano kwa mtoto pekee,” alisema Dokta Sijaona
Makala ya kisayansi iliyofanywa na dokta Kahabi Isangura mwaka 2007-2008 ambaye pia ni mtaalamu wa afya ya jamii inasema kuwa, kiwango cha maambukizi kwa wanawake ni asilimia 21.5 na wanaume kiwango cha maambukizi ni asilimia 11.4.
Makala hiyo ya kisayansi inaeleza kuwa kati ya watoto 70,000 hadi 80,000 wanaozaliwa kila mwaka wapo hatarini kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) kipindi cha kuzaliwa na wakati wa kunyonya.
Kipindi cha mwaka 2007-2008 zaidi ya watu milioni 1,400,000 wanaishi na virusi vya ukimwi, kati hao wanawake ni asilimia 52 na asilimia 11. 4 ni watoto wa chini ya umri wa miaka 15.
Aidha makala hiyo inaeleza kuwa kwa sasa Tanzania inakadiliwa kuwa na watu milioni 2, 113,158 wanaishi na virusi vya ukimwi lakini kati ya hao asilimia 21. 5 ndio wanaopatiwa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo
“Nakula mlo mmoja kwa siku siku nyingine nalala na njaa,”alisema Zaituni.
Hivi sasa mtoto wake wa pili naye anatumia dawa za ARV. Amegunduliwa kwamba ana VVU, japokuwa alipozaliwa alikuwa hana.
Zaituni anasema alipewa maelekezo ya namna ya kumtunza mtoto wake kila alipokwenda kliniki.
“Nilifurahi sana kuambiwa mtoto wangu hana maambukizi alipozaliwa. Niliambiwa nimlee vyema ila cha msingi nilitakiwa kumtengea vifaa vyake vya kutumia kama wembe na sindano,” alisema Zaituni
Ni vigumu kujua lini mtoto huyu alipata maambukizi lakini hali yake iligundulika baada ya kufikisha miaka minne.
Na japokuwa ni vigumu kujua namna alivyoambukizwa, maisha ya Zaituni yanatoa ushahidi wa aina Fulani. Hana mume kwa sababu baba ya watoto wake wapili wa kwanza alimuacha baada ya kugundua mama na mtoto wana VVU.
“Umasikini wa kipato ndio umechangia kumuambukiza mtoto wangu virusi vya ukimwi,” alisema Zaituni, huku akibubujikwa na machozi shavuni.
Afisa habari kutoka tume ya kudhibiti ukimwi nchini (TACAIDS) Glory Mziray anasema kuwa, tatizo la Zaituni kukosa chakula na watu wengine wenye tatizo kama lake, wanatoapesa katika kila halmashauri zote nchini ili, kuwawezesha kufanya muitikio wa kudhibiti ukimwi kwa kuwashirikisha watu wanaoishi na virusi vya ukimwi.
Mziray alisema kuwa wilaya inatakiwa kupanga na kujua kuna waathirika kiasi gani na kuwapatia mahitaji mbalimbali wanayowahitaji, kwa mfano chakula, mavazi,elimu kwa jamii juu ya kujikinga na virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
“Haki za watu wanaoishi na virusi vya ukimwi na ukimwi vinajumuishwa na kulindwa katika kila sekta, pia kuna mkakati na sera kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi wa mwaka 2008 hadi 2012, ili kuweza kuratibu watu hao katika kila sekta, maana watu wanaoishi na virusi vya ukimwi wako katika kila sekta hapa nchini, pamoja na kuunda baraza la watu wanaishi na virusi vya ukimwi ili waweze kujadili haki zao na kuzitatua,” alisema Mziray
Mziray alisema kuwa kila mwaka wanatumia Bilioni 15.5 pesa za kuthibiti ukimwei, pia pesa hizo zinapelekewa katika kila halmashauri kulingana na mahitaji hali ya halmashauri husika, lengo kubwa ni kuhakikisha kuwa wanapambana na maambukizi mapya na kuwapatia mahitaji ya muhimu kwa watu wenye virusi vya ukimwi, hata nchi nyingine kama Kenya, Uganda,Rwanda nao wanawapatia pesa halmashauri husika kudhibiti ukimwi kama tunavyofanya hapa nchini.
Katika Kitabu cha pili cha mkakati wa taifa wa kudhibiti ukimwi cha mwaka 2008 hadi 2012 kinaeleza kuwa, kuhakikisha uwianishaji kwa ukamilif wa changamoto zinazohusu janga la ukimwi katika sera na mipango mikuu ya maendeleo ya muda mrefu, kwa kuzingatia athari mahususi kwa watu wanaishi na virusi vya ukimwi na ukimwi, familia zao zilizoathirika pamoja na masuala yanayohusu jinsia na umasikini.
“Ningekuwa na pesa ya kununua wembe, sindano, chanuo na sabuni mtoto wangu asingepata maambukizi. Lakini hata pesa ya kununua unga na mboga ni tatizo kwangu; nitawezaje kupata pesa ya kununua vifaa mmbalimbali vya kutumia mtoto pekee yake? Kikubwa ninachoangalia ni watoto kupata chakula.”
Akikosa kabisa chakula, Zaituni analazimika kutumia dawa zake za ARVs hivyo hivyo na kumuombea mtoto wake chakula kwa majirani ili asiregee na dawa anazotumia.
Mtoto wa pili wa Zaituni hajui kwa nini anapewa dawa kila siku. Anasema mama yake anampatia dawa asubuhi na jioni; muda mwengine akisahau, inabidi amkumbushe
Mtoto huyo alisema kuwa mama yake alimwambia akinywa dawa hiyo ndio anakua haraka. Pia, aliongeza kwa kusema kuwa anaamini akifikia umri wa kuanza shule akuwa na akili nyingi shuleni kutokana na dawa hizo.
Maamuzi ya kumpeleka wake wa kwanza kwa dada yake yalimsaidia mtoto huyo kutopata maambukizi ya virusi vya ukimwi, mwaka 2006 alianza kliniki na kupimwa akakutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Kwa wakati huu, Zaituni bado hajui kama mtoto wake watatu ana maambukizi ya VVU; amemleta katika hospitali ya wilaya ya Nachingwea kupima.
“Sina hakika kama naye atakuwa vema bila ya kupata maambukizi, maana huyu kaka yake amezaliwa mpaka anamaliza kunyonya hakupata maambukizi, alipofika miaka minne aligundulika na maambukizi ya virusi vya ukimwi,” alisema Zaituni.
Kwa mujibu wa Kaimu Mratibu wa ukimwi wilaya ya Nachingwea Dokta Khadija Komba zaidi ya watoto 458 wameambukizwa virusi vya ukimwi, pengine katika mazingira ya kuchangia nyembe, chanuo na sindano za kutolea funza na mzazi au na mzazi mwenye virusi kwa kugusuna kama ana mchubuko mwilini.
Watoto 458 waliozaliwa na mama wenye VVU, mpaka wanafikisha miezi 18 walikuwa hawana maambukizi ya virusi vya ukimwi, inawezekana wamepata maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa kutumia vitu vya ncha kali pamoja na mama zao kwa kipindi cha miaka mitatu.
Jumla ya watoto 200 wanatumia dawa za ARVs, kati ya hao watoto wa kiume 90 na watoto wa kike 110, pia watoto 258 bado hawajaanza kutumia dawa za ARVs, kati ya hao watoto wa kiume 118 na watoto wa kike 140, kwa sababu kinga za mwili kuwa juu. Kama mtoto kinga yake ya mwili iko chini anapatiwa dawa kuanzia umri wa mwezi mmoja hadi miaka 14.
Dokta Komba alisema kuwa watoto kuanzia mwezi mmoja hadi miaka 14 wanapewa dawa aina ya AZT 390, niverapin na seprin mpaka wanapoacha kunyonya, dawa hii wanayopewa inasaidia kudumaza wadudu wa virusi vya ukimwi wasizaliene kwa wingi kwa mtoto.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Hussein Mwinyi, alisema kuwa mwaka 2011 jumla ya vituo 1,660 vinavyotoa huduma za (PMTCT) vilianza kutoa huduma za utambuzi kwa kutumia sampuli kwenye hospitali za rufaa.
Idadi ya watoto waliopatiwa huduma hiyo imefikia 18,231 kwa mwaka 2009 na watoto 22,033 kwa mwaka 2010 na 27, 245 kwa mwaka 2011. Kwa sasa tumefikia asilimia 26 ya kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi lengo ifikapo 2015 ifikie asilia 4 ya maambukizi.
Kwa upande wake Muuguzi Mkunga anayewapima watoto wakiwa chini ya miezi 18 Evarist Chingwuile, alisema kuwa mtoto anapozaliwa na mama mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi anapewa dawa za AZT390 na niverapin kwa muda wa miezi 18.
Chingwuile alisema kuwa akiwa na miezi miwili anapimwa antijen katika sehemu ya unyayo kujua kama anamaambukizi au hana maambukizi, wakishamtoa damu inapelekwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Majibu yanarudi baada ya wiki mbili, wakati wote huo mtoto anaendelea na dawa, mtoto akiachishwa kunyonya, anapimwa kumuangalia kama anamaambikizi, kama anamaambukizi anapimwa na kinga ya mwili kama iko chini anaendelea kupewa dawa ya niverpin na seprin na kumuamishi katika kituo cha ctc.
Dokta Debora Kayoka meneja wa mradi wa kumkinga mtoto asipate maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nchini, alisema mashine za kumpima damu ya mtoto ili kujua kama ana maambikizi au hana kwa hapa nchini, mashine hizo zipo katika hospitali za rufaa tu, kama hospitali ya Mbeya, hospitali ya Bugando, hospitali ya Kcmc na hospital ya Muhimbili.
Mashine ya (DNA-PCR) ambazo zinatumika kujua kama damu ya mtoto inamaambukizi mashine hizi zinauzwa kwa gharama ya dola ya Kimarekani 35,000 hadi dola 45,000, serikali ya Tanzania imepewa ufadhili na mfuko wa Bill Cliton Fundation.
Kwa sasa nchini Tanzania tunawataalamu wa kupima damu ya mtoto wa umri wa miezi miwili kwa kutumia mashine hii ya DNA-PCR wako wangapi 22 na wamesomea kozi za maabara Kwa muda wa miaka miaka 3, kwa kiwango cha degree,mashine hizo kwa hapa nchini zipo 10.
Chingwuile alisema kuwa kwa mwaka 2012 wanawake wajawazito waliofika kliniki kupima waliku 1,614 kati hao wasiona maambukizi ni 1565, wenye (VVU) 49, wanaume walipima na wake zao wakati wa ujauzito ni 26.
Wanaendelea na dawa ambao wana watoto wa changa ni 14. Pia mimba za utotoni 86 na wajawazito 14 wanatumia dawa hizo za kumkinga mtoto asipate na maambukizi.
Watoto wote waliozaliwa na wamama wenye virusi vya ukimwi hawana maambukizi ila mama anapojifungua salama tunamuuelekeza jinsi ya kumtunza mtoto asimuambikize virusi.
“Tunamuelimisha mama kutotumia nyembe, sabuni, sindano na chanuo pamoja na mtoto wake, anatakiwa kutunze vizuri mtoto wake kwa kumuandalia vifaa mbalimbali vya kwake kama wembe, sindano, sabuni na chanuo ili asimuambukize (VVU),” alisema Chingwuile.
Alisema kuwa baada ya miaka miwili au mitatu mama anapokuja kliniki mtoto anaanza kuumwa homa za mara kwa mara, ukimpima unamkuta mtoto amemuambukiza virusi vya ukimwi wakati alipojifungua unamuelimisha jinsi ya kumtunza mtoto ana anapokuja kliniki kila mwezi.
“Wengi husema hali ngumu ya maisha wanashindwa kununua wembe wa peke yake na mtoto akinunua wembe anatumia na mtoto wake kama kumkata kucha kumtoa funza na kumyoa nywele na kumpa vyakula akiwa chini ya miezi sita pia kunasababisha kumuambukiza virusi vya ukimwi,” alisema Mkunga Chingwuile.
Kwa upande wake mkurugenzi wa wilaya ya Nachingwea Mwanamvua Mrindoko alisema kuwa, kila mwaka wa fedha Tume ya kuthibiti ukimwi nchini wanawapatia shilingi milioni 80 kwa ajili ya mapambano ya virusi vya ukimwi laki kwa mwaka huu wa fedha mpaka sasa wamepokea shilingi milioni 20 tu bado shilingi milioni 60.
Mrindoko alisema kuwa pesa hizo wakizipata wanazitumia kwa, Kuwajengea uwezo kamati mbalimbali za ukimwi za kata. Kwa sasa wilaya ina kamati 32, pia wanawalipia ada ya shule wanafunzi waliotoka katika familia zilizoathika na ukimwi na wanafunzi wanaishi na virusi vya ukimwi na ukimwi ambao wako 438 wa shule za sekondari.
Aidha alisema kuwa zaidi ya milioni 20 inatumika kuwalipia ada wanafunzi hao wenye maambukizi ya ukimwi na ukimwi katika shule mbalimbali kuanzia kidato cha kwanza mpaka chuo kikuu.
Pia wanatoa lishe kwa wanafunzi wapata 15 wa shule ya sekondari na wanafunzi 20 wa shule ya msingi, vile vile wanatoa lishe kwa wagonjwa wenye ukimwi ambao hawajiwezi majumbani, kuwezeshwa katika miradi mbalimbali kama kutunza mazingira, kutengeneza lishe na vikoba.
Mrindoko alisema kuwa idadi kubwa ya watoto wanafunzi wanaishi na virusi vya ukimwi na wenye ukimwi katika wilaya hiyo, imetokea mwaka 1990 hadi 1998 kwa sababu kulikuwa bado hakuna dawa ya kumkinga mtoto asipate maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Kwa sasa zaidi ya watu wenye 4,625 kati ya wakazi 17,00,000.
“Changamoto kubwa sana wanayoipata ni pesa kuwa finyu ukilinganisha na idadi kubwa ya maambukizi mpya ya ukimwi siku hadi siku katika msimu wa korosho na ufuta, pia uwepo wa machimbo ya madini Kiegei pamoja na makambi makubwa matatu ya kijeshi kuwepo katika wilaya hiyo na inasemekana wanajeshi hao wanafanya ngono zembe katika wilaya hiyo,”alisema Mrindoko
Kufuatia ufinyu wa bajeti na kuchelewa kufika muda muafaka, waathirika wengi hasa vijiji ambako kuna kata 26 za wilaya hiyo wanakosa huduma muhimu kama lishe na kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili waweze kujitegemea wenyewe katika kupata chakula, wanaiomba tume ya kuthibiti ukimwi nchi kuwaongea bajeti ya wilaya ya Nachingwea kutoka shilingi milioni 80 hadi ifike shilingi milioni 100.
Kwa mujibu wa kitabu kilichochapishwa kwa hisani ya Amref na Watu wa Marekani mwezi Julai mwaka 2007 na kusainiwa na Katibu Mkuu Mukama, ambacho kinaelezea muongozo kwa mama mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi kulimsha mtoto asiye na maambukizi , kunaweza kumuambukiza virusi hivyo.
Kitabu hicho kinaeleza kuwa mwanamke anayeishi na (VVU), anaweza kumuambukiza mtoto wake akiwa na ujauzito,uchungu na wakati wa kujifungua na wakati wa kunyonyesha.
Kama mama mjamzito hajapima (VVU), hawezi kufahamu kama anaishi na VVU. Hivyo ni muhimu wanamke mjamzito na wanaonyonyesha kupima ili kutambua hali yao ya maambukizi ya (VVU) na kupata ushauri wa jinsi ya kuwakinga watoto wao na maambukizi ya (VVU).
Mama anaishi na(VVU), damu na maziwa yake huwa na (VVU). VVU kutoka kwa mama vinaweza kwenda kwa mtoto wakati wa mimba, hususan wakati wa uchungu na kujifungua, wakati mtoto anapogusana na damu au majimaji ya mwili wa mama yeke. Ikiwa mama ananyonyesha (VVU) kwenye maziwa yake vinaweza kupita kwa mtoto.
Dokta Hussein Mwinyi alitoa ufafanuzi katika siku ya ukimwi duniani iliyofanyika katika Mkoa wa Lindi, hali halisi ya maambukizi kwa wanawake wajawazito hapa nchini kwa waka 2011, 86,875 walipatiwa dawa za ARVs kuzuiya maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Sawa na asilimia 71 ya wajawazito 122,146 waliokadiriwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi, asilimia ya wajawazito kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi imeongezeka mpaka kufikia asilimia 62 ukilinganisha na mwaka 2005 kulikuwa na asilimia 9 ya wajawazito wapatao 11,435 waliopatiwa huduma hii.
Kaimu Mganga mkuu wa Wilaya dokta John Sijaona alisema kuwa, tatizo la watoto wa chini ya miaka 15 kupata maambukizi linatokana na elimu duni kwa wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na ugumu wa maisha mama anashindwa kutenga vifaa mbalimbali vya kutumia mtoto wake na kusababisha kumuambukiza virusi vya ukimwi.
“Mama akipewa elimu ya kutosha jinsi ya kumtunza mtoto aliyemzaa asimuambukize virusi vya ukimwi itasaidia kupunguza maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, lakini ugumu wa maisha nao unachangia mama kushindwa kumudu kununua nyembe, chanuo na sindano kwa mtoto pekee,” alisema Dokta Sijaona
Makala ya kisayansi iliyofanywa na dokta Kahabi Isangura mwaka 2007-2008 ambaye pia ni mtaalamu wa afya ya jamii inasema kuwa, kiwango cha maambukizi kwa wanawake ni asilimia 21.5 na wanaume kiwango cha maambukizi ni asilimia 11.4.
Makala hiyo ya kisayansi inaeleza kuwa kati ya watoto 70,000 hadi 80,000 wanaozaliwa kila mwaka wapo hatarini kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) kipindi cha kuzaliwa na wakati wa kunyonya.
Kipindi cha mwaka 2007-2008 zaidi ya watu milioni 1,400,000 wanaishi na virusi vya ukimwi, kati hao wanawake ni asilimia 52 na asilimia 11. 4 ni watoto wa chini ya umri wa miaka 15.
Aidha makala hiyo inaeleza kuwa kwa sasa Tanzania inakadiliwa kuwa na watu milioni 2, 113,158 wanaishi na virusi vya ukimwi lakini kati ya hao asilimia 21. 5 ndio wanaopatiwa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo
Friday 19 April 2013
Tuesday 16 April 2013
ZITTO KABWE AIKANA NAMBA YAKE YA SIMU LIVE BAADA YA CHADEMA WENZAKE KUDAI NI GAIDI NA ACHUNGUZWE
anyalovforyou.blogspot.com
·
by @franckie mtetemela
·
April 16, 2013
ZITTO KABWE AIKANA NAMBA YAKE YA SIMU LIVE BAADA YA CHADEMA WENZAKE KUDAI NI GAIDI NA ACHUNGUZWE
Sasa nashawishika kuamini kuwa CHADEMA wana lao juu ya mipango ya kigaidi...
Jana
Mabere marando alitoa tamko lefu sana lenye namba za simu
kibao za watu mashuhuri akitaka mahakama ichunguze simu zao
ikiwemo ya Zitto Kabwe.....
SWALI LA KUJIULIZA:
-Kwanini Mabere Marando anatoa tamko muhimu kama hili bila kuhusisha viongozi wa juu kama Zitto?
-Matamko ya nini wakati kesi iko mahakamani?
-Kwanini
chadema inaendelea kulizungumzia hili swala nje ya mahakama huku
wanaharakati wa chadema kama Mwanakijiji wakiwa wameshaanzisha harakati
za kutaka kesi ifutwe kwa swala kuzungumziwa nje ya mahakama?
HUU NI UJUMBE WA ZITTO AKIKANUSHA KUHUSIKA NA UGAIDI
( HAPA AMEANZA KWA KUNUKUU SEHEMU YA RIPOTI YA MABERE:)
Ndugu waandishi wa habari;
Pili,
nitakwenda mahakamani kuwasilisha ombi maalum la kuomba amri ya
mahakama kuagiza makampuni ya simu za mkononi kuwasilisha mahakamani
statement za simu za watu kumi (10) ili kusaidia mahakama kutenda haki
na jamii kujua ukweli wa mambo haya.
Watu
ambao nitaomba mahakama itoe amri ya kuletwa taarifa zao simu na meseji
(sms) ni Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa nchini (TISS), Jack Zoka,
anayetumia simu Na. 255756809535, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Mwigulu Lameck Nchemba....
HUU NDO UTETEZI WAKE
Namba
hiyo iliyotajwa katika TAMKO imewahi kuwa namba yangu ya Simu. Namba
hii nimeacha kuitumia toka mwezi Juni/Julai mwaka 2012.
Hata
hivyo namba hii bado inaonekana kwenye business card yangu na kwenye
email zangu sehemu ya anuani. Namba hii haijawahi kuwa ya Zoka. Imewahi
kuwa ya Zitto Zuberi Kabwe peke yake. Namba hii haitumiki toka katikati
ya mwaka 2012.
Mambo
mawili muhimu:ama namba hii imewekwa kwa bahati mbaya kwenye tamko
tajwa au imewekwa makusudi kwa sababu maalumu zenye lengo la kutoa
ujumbe fulani kwa watu.
Kwa
namna namba hii ilivyochomekwa kwenye tamko hili ni dhahiri kuna
juhudi za kunihusisha na upuuzi huu wa ugaidi na unyama dhidi ya
binaadamu.
Napenda
kusisitiza kwamba, sihusiki kwa namna yeyote ile katika kuwaza, kupanga
au kutekeleza mipango yeyote ya kudhuru mtu ama kwa njia za kigaidi au
za kijinai.
Sihusiki
kwa namna yeyote ile kupanga mpango wowote ule wenye lengo la kuhusisha
chama changu na vitendo vyovyote vya kigaidi au kudhuru mtu yeyote
yule.
Juhudi
zozote zinazofanywa na maadui wa chama changu za kunihusisha na mambo
haya zitashindwa kwani siku zote ukweli huwa bayana.
Napenda kuweka wazi kwamba Mhariri wa Mwananchi ndugu Dennis Msacky ni rafiki yangu wa karibu sana.
Ninaamini
kabisa kwamba katika suala hili Dennis Msacky ni victim.Juhudi zozote
zile za kutaka kumgeuza 'victim' kuwa mtuhumiwa lazima zitashindwa tu
kwani siku zote HAKI hutamalaki.
Mtu
yeyote anayetaka kutumia urafiki wangu na Dennis Msacky kutaka
kujifurahisha kisiasa ajue kuwa furaha yake hiyo itakuwa ni ya muda
mfupi sana maana ukweli ukidhihirika atapata aibu kubwa sana.
Ni muhimu sasa mambo haya tuiachie mahakama itende haki.
WOTE MBARONI........
IMEBAINIKA kwamba kuna mtandao wa
askari ndani ya majeshi mbalimbali ya ulinzi nchini na hasa Jeshi la
Magereza ambao unajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Uchunguzi wa Uwazi umebaini kwamba
tayari orodha ya majina ya askari hao yamekabidhiwa kwa Kamishna
Jenerali Mkuu wa Magereza, John Minja ili kuwashughulikia kwa mujibu wa
sheria.
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichopo
ndani ya jeshi hilo, kilisema kwamba tayari mkakati maalum umeandaliwa
ili kuwachukulia hatua askari wanaojihusisha na mtandao huo na kuahidi
kwamba hakuna mtu hata mmoja atakayepona.
“Taa nyekundu imewaka kwani baada ya
kamishna kupata orodha hiyo aliweza kuwapangua askari wakubwa katika
Gereza la Keko jijini Dar na kuwatawanya sehemu mbalimbali ili
kuhakikisha kwamba mtandao huo unakoma na biashara hiyo inafikia tamati.
“Pia, makachero makini wamewekwa
katika kila gereza hapa nchini ili kupambana na hali hiyo na majeshi
yote yatachunguzwa,” kimesema chanzo hicho.
Mkakati huo uliandaliwa kabla ya
Aprili 7, mwaka huu ambapo saa 4 usiku makachero walimnasa askari
magereza, Brighton Octavian, akiingia kazini katika Gereza la Keko
akiwa na kete 732 za Heroin kwa madai ya kuzipeleka kwa wafungwa.
Imedaiwa kuwa askari huyo ni mmoja tu
kati ya watu wanaodaiwa kuunda mtandao huo ambao pia unawashirikisha
baadhi ya raia na vigogo wa madawa ya kulevya hapa nchini.
“Kamishna Minja amethubutu kuchukua
hatua ili kurekebisha tabia na mwenendo wa magereza yetu kwa kuwa huko
nyuma hali ilikuwa mbaya na kuonekana kama sehemu ya genge la kupitisha
madawa ya kulevya kwa ajili ya wafungwa,” kilisema chanzo hicho.
Uwazi limebaini kwamba baadhi ya
askari katika magereza mbalimbali nchini wamekuwa na maisha mazuri
kuliko makamishna wa magereza, hali ambayo inawashangaza wengi.
Inadawa kwamba askari hao wamekuwa si waaminifu kutokana na kushiriki kwao katika mtandao huo wa biashara haramu.
Baada ya Kamishna Minja kuteuliwa
kuongoza jeshi hilo, aliunda tume ya kuchunguza changamoto mbalimbali na
kugundua udhaifu mkubwa katika Gereza la Keko.
Gazeti hili lilimsaka Kamanda wa
Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini, Godfrey
Nzowa na kumuuliza hatua wanazozichukua kutokana na hali hiyo.
Mbali na kumtaja askari magereza
Brighton, pia Nzowa aliongeza kuwa wapo katika mpango maalum wa kumaliza
tatizo hilo ndani ya magereza nchini.
“Askari aliyekamatwa alikutwa na kete
732, tunajipanga kuumaliza mtandao wao kwa nguvu zote,” alisema Nzowa
na kuongeza kuwa inashangaza kuona askari nao wameingia kwenye biashara
hiyo haramu.
Alipoulizwa kuhusu majeshi mengine,
Nzowa alisema wakuu wake ambao ni wa majeshi yote hawataki kabisa kuona
biashara hiyo haramu inafanyika popote pale, hivyo yupo nao bega kwa
bega kupambana na askari atakayethubutu kuifanya.
Naye Msemaji wa Jeshi la Magereza, Mtiga Omari alisema askari Brighton ameshafukuzwa kazi.
“Tumemkabidhi kwa polisi ili
ashughulikiwe kisheria na kuhusu majina ya baadhi ya askari wengine wa
magereza wanaojihusisha na biashara hiyo naomba unipe muda nifuatilie,”
alisema Kamanda Mtiga.
Jeshi la polisi linaongozwa na IGP
Said Mwema na kanda maalum inaongozwa na DCP Suleiman Kova ambao wote
wapo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani inayoongozwa na Dk Emmanuel
Nchimbi ambaye kasi yake ya utendaji kazi tangu ateuliwe kushika wadhifa
huo na Rais Jakaya Kikwete, inasifiwa na wengi.
HACKERS WAIBOMOA WEBSITE YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM -( UDSM ) NA KUUJAZA MATANGAZO YA NGONO
Leo mchana, mtandao wa chuo kikuu cha Dar es salaam uliingiliwa na mahackers na kujazwa matangazo ya ngono.....
Matangazo hayo machafu yalikuwa yamewekwa Chini ya picha ya mkandala kwenye welcoming note ya vice chancelor......
MWONEKANO WA MCHANA
Mpaka saa tano usiku mtandao huo wa chuo maarufu haukuwa hewani .....( www.udsm.ac.tz/ )
MWONEKANO WA MIDA HIYO
UPDATE:
Kwa sasa mtandao huo uko hewani tena
Monday 15 April 2013
Sunday 14 April 2013
MATAJIRI 10 WANAMUZIKI AFRIKA
1. Youssou N’Dour
2. P-Square
3. D’Banj
4. Kofi Olomide
5. Salif Keita
6. Fally Ipupa
7. 2Face Idibia
8. Hugh Masekela
9. Banky W
10. Jose Chameleon
FID Q AKIWA KWENYE MATEMBEZI YAKE INCHINI MAREKANI
Msaniii mashuhuri wa Mziki wa bongo
fleva nchini Fid-Q Jamaa akiwa kwenye mizunguko yake nchini marekani...
angalau kwasasa wasanii wa Tanzaniaiwameanza
kufaidika na kazi zao... ziara ya fid q ilionekana kuwa na mafanikio na
kukutana na wasanii tofaut tofaut akiwemo mtumzima Fat Joe' kwahabari
zaid endelea kutembelea blog yetu.... Top Talent dio habari ya mjini
Saturday 13 April 2013
GARY wa MARA CLARA
Jina kamili: Jhong Hilario
Virgilio Hilario Jr.
a.k.a Sample King
kazaliwa August 11, 1976 (age 36)
Makati City , Philippines
Funi/Kazi: Actor , dancer
kaanza udencer tangu1993–(mpaka sasa)
kazi ya kuigiza kaanza 1996–(mpaka sasa)
ni dencer wa kundi la Streetboys huko Philippines.
hizi ni baadhi ya muvi zake:
Muro Ami, iliyotoka mwaka 1999,
Butong; D' Anothers (2005), Dekada '70 (2002)
Hizi ni baadhi ya Muvi alizowahi kushiriki;
1999–2001
Rio Del Mar
Maynila
2000–2001
GMA Telesine Specials
Maalaala Mo Kaya: Wedding Cake
2002–03
Kay Tagal Kang Hinintay
2003–04
Basta't Kasama Kita
2004
Spirits
2006
U Can Dance
Penduko
Ka Edgar
Big Boy
2007
Rex Ferrer
2008
Kung Fu Kids
2009
Romualdo "Lolong" Rubi
2010
Showtime
Tayo'y Magkakalayo
Jason/Agustin
Agimat:
Tonyong
Bayawak
Nitoy
Teen Clash 2010
2010–2011
Mara Clara
na nyinginezoo nyingi
Virgilio Hilario Jr.
a.k.a Sample King
kazaliwa August 11, 1976 (age 36)
Makati City , Philippines
Funi/Kazi: Actor , dancer
kaanza udencer tangu1993–(mpaka sasa)
kazi ya kuigiza kaanza 1996–(mpaka sasa)
ni dencer wa kundi la Streetboys huko Philippines.
hizi ni baadhi ya muvi zake:
Muro Ami, iliyotoka mwaka 1999,
Butong; D' Anothers (2005), Dekada '70 (2002)
Hizi ni baadhi ya Muvi alizowahi kushiriki;
1999–2001
Rio Del Mar
Maynila
2000–2001
GMA Telesine Specials
Maalaala Mo Kaya: Wedding Cake
2002–03
Kay Tagal Kang Hinintay
2003–04
Basta't Kasama Kita
2004
Spirits
2006
U Can Dance
Penduko
Ka Edgar
Big Boy
2007
Rex Ferrer
2008
Kung Fu Kids
2009
Romualdo "Lolong" Rubi
2010
Showtime
Tayo'y Magkakalayo
Jason/Agustin
Agimat:
Tonyong
Bayawak
Nitoy
Teen Clash 2010
2010–2011
Mara Clara
na nyinginezoo nyingi
hiyo ndio profile ya actor wetu wa leo
(Next ungependa awe nani?)
(Next ungependa awe nani?)
GARY wa MARA CLARA read about him
Jina kamili: Jhong Hilario
Virgilio Hilario Jr.
a.k.a Sample King
kazaliwa August 11, 1976 (age 36)
Makati City , Philippines
Funi/Kazi: Actor , dancer
kaanza udencer tangu1993–(mpaka sasa)
kazi ya kuigiza kaanza 1996–(mpaka sasa)
ni dencer wa kundi la Streetboys huko Philippines.
hizi ni baadhi ya muvi zake:
Muro Ami, iliyotoka mwaka 1999,
Butong; D' Anothers (2005), Dekada '70 (2002)
Hizi ni baadhi ya Muvi alizowahi kushiriki;
1999–2001
Rio Del Mar
Maynila
2000–2001
GMA Telesine Specials
Maalaala Mo Kaya: Wedding Cake
2002–03
Kay Tagal Kang Hinintay
2003–04
Basta't Kasama Kita
2004
Spirits
2006
U Can Dance
Penduko
Ka Edgar
Big Boy
2007
Rex Ferrer
2008
Kung Fu Kids
2009
Romualdo "Lolong" Rubi
2010
Showtime
Tayo'y Magkakalayo
Jason/Agustin
Agimat:
Tonyong
Bayawak
Nitoy
Teen Clash 2010
2010–2011
Mara Clara
na nyinginezoo nyingi
Virgilio Hilario Jr.
a.k.a Sample King
kazaliwa August 11, 1976 (age 36)
Makati City , Philippines
Funi/Kazi: Actor , dancer
kaanza udencer tangu1993–(mpaka sasa)
kazi ya kuigiza kaanza 1996–(mpaka sasa)
ni dencer wa kundi la Streetboys huko Philippines.
hizi ni baadhi ya muvi zake:
Muro Ami, iliyotoka mwaka 1999,
Butong; D' Anothers (2005), Dekada '70 (2002)
Hizi ni baadhi ya Muvi alizowahi kushiriki;
1999–2001
Rio Del Mar
Maynila
2000–2001
GMA Telesine Specials
Maalaala Mo Kaya: Wedding Cake
2002–03
Kay Tagal Kang Hinintay
2003–04
Basta't Kasama Kita
2004
Spirits
2006
U Can Dance
Penduko
Ka Edgar
Big Boy
2007
Rex Ferrer
2008
Kung Fu Kids
2009
Romualdo "Lolong" Rubi
2010
Showtime
Tayo'y Magkakalayo
Jason/Agustin
Agimat:
Tonyong
Bayawak
Nitoy
Teen Clash 2010
2010–2011
Mara Clara
na nyinginezoo nyingi
Friday 12 April 2013
wasanii kumuenzi kanumba
WASANII wa filamu Tanzania wapo katika harakati za mwisho wa mchakato wao katika maandalizi ya kumuenzi marehemu Steven Kanumba, ikiwa ni moja ya jambo walilokusudia kuhakikisha wanamuenzi na kuthamini mchango aliouacha kwenye tasnia ya filamu
Akizungumzia maandalizi hayo jijini Dar es Salaam rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba alisema kuwa baadhi ya maandalizi yameanza kwa ajili ya kumuenzi marehemu Kanumba, huku wakishirikiana na familia ya marehemu ili kuweka mipango ya nini kifanyike katika harakati za kutimiza lengo
Alisema kuwa lengo lao lazima litimie kwa sababu walikusudia kufanya kitu kwa ajili ya kumuenzi marehemu kutokana na mchango wake aliouacha kwenye filamu na ili kudhihirisha hilo wanaamua kumenzi katika hali ya kiupekee
"Lazima tufanye kitu cha tofauti katika kumuenzi marehemu na ili tuonyeshe upendo wetu lazima tuheshimu kile alichokiacha kwa kuendeleza" alisema Mwakifwamba
Aliongozea kuwa muda ukifika na maazimio yakipitishwa ndipo ataweka wazi ni jambo gani lililokusudiwa kufanyika
Marehemu Steven Kanumba amefariki april 7 mwaka 2012 ambapo chanzo cha kifo chake kinadaiwa kuwa ni ugomvi wa mapenzi, na aliyekuwa mpenzi wake msanii mwenzie wa filamu Lulu
RAYUU AMJIBU SINTA
Inaonekana bifu kati ya mastaa, warembo Rayuu Alice Bagenzi na Sintah
haijafa bado. Jana Rayuu amemchana tena Sintah kupitia Facebook.
Alichosema kipo hapo chini, lakini kitu ambacho nimeona very
interesting, ni tofauti ya comments kati ya wanawake na wanaume.
Wanawake, karibu asilimia mia, wanamsapoti au kumshabikia Rayuu.
Wanaume karibu wote aidha wako neutral au wamemshukia Rayuu. Nadhani
kuna mwanaume mmoja au wawili tu ambao wameshabikia. Nimegawanya na
kuambatanisha baadhi ya “typical” comments za wanawake kwanza, halafu za
wanaume zinafuatia chini yake. Zicheki hapo chini. Unadhani hii tofauti
ya mwitikio kati ya wanawake na wanaume inatokana na nini?
Alichosema Rayuu:
“kujibishana na nani vile anaitwa ….. gyz nisaidieni aliimbwa sn na nature cz alichoka nakujiuza kwake:nani anaitwa jamani cz me niliwahi mona mara1 masenze akiwa bsy kusimamisha magari;ss cjui alikuwa anafanya nn!ali maarufu kama bibi kizee anaye tafuta umaarufu kupitia migongo ya wenzie!ss sikia kizee dida anakutafuta na akikupata ……???ndo utajua kuwa ww ni kibibi umri umepita!!wateja wako wanasema.acha kuvaa matako ya bandia!!(kubishana na ww ni sawa nakubishana na bibi yangu!!)na koma kusema mm rafiki yako!!”
Baadhi ya comments za wanawake:
“Ha ha ha best duh eti ye kila cku ana miaka 18 lol”
“kazi nkufatilia ya watu kuunda ushoga na wototo wadogo kaanza kwa wema kashindwa mara joket mara wolper heee wa wapi bibi sauda mwilima shoga ake haruc yake alipambwa kama jini na ailivyojichubua sasa kwenda kumponda kwenye blog na kipindi chake cha haruc eti aliempamba aunt ka?mpamba vibaya yee mbona hakupambwa vizur akatulia kwenye ndoa zake maana kama haruc kafanya mbili cjui na mtoto mkubwa wa kiume anae anaachakuwaza atamsomeshaje anaangaika kununua matako mpxiuuuuuu”
Hii kutoka kwa Rayuu mwenyewe: “hahahahah matako ananunua lkn bado flat!!alafu nahisi c mzm yule!”
“Hihihhhihihi mpk raha eti jLo khaaa zake zshapita aclazimishe kurudi tena” na nyingine nyingi tu za aina hiyo. Angalia screenshot hapa chini.
Baadhi ya comments za wanaume:
“Bongo bana eti ndo ma celeb hawa ….. pumbavu think u got nothing to do …. all you hv inside of your hds is fuckin shits …. mnaboa kwa kweli …. mna andika ujinga tu ….. na we rayu kama umeudhiwa saaaaaana bora mgemalizana hukohuko si haya tuhusu. wadogo zenu wanasoma upumbafu wenu mnaoandika…. embu elimikeni kidogo …..!
i thought you were a lady kumbe hamnazo. a lady shes listen en do her own things privatly sio kama hivi …. kudadeki ningekuwa na uwezo ningewachapa nyoooote cos mnatutia aibu.”
“wy masuper star bongo mnadhalilishana sana badilikeni bana fichianeni aibu saidianeni kama alivyofanya Wema kwa Kajala.” Angalia screenshot hapa chini kwa comments zaidi za wanaume.
Mtazamo wako? Funguka!
Alichosema Rayuu:
“kujibishana na nani vile anaitwa ….. gyz nisaidieni aliimbwa sn na nature cz alichoka nakujiuza kwake:nani anaitwa jamani cz me niliwahi mona mara1 masenze akiwa bsy kusimamisha magari;ss cjui alikuwa anafanya nn!ali maarufu kama bibi kizee anaye tafuta umaarufu kupitia migongo ya wenzie!ss sikia kizee dida anakutafuta na akikupata ……???ndo utajua kuwa ww ni kibibi umri umepita!!wateja wako wanasema.acha kuvaa matako ya bandia!!(kubishana na ww ni sawa nakubishana na bibi yangu!!)na koma kusema mm rafiki yako!!”
Baadhi ya comments za wanawake:
“Ha ha ha best duh eti ye kila cku ana miaka 18 lol”
“kazi nkufatilia ya watu kuunda ushoga na wototo wadogo kaanza kwa wema kashindwa mara joket mara wolper heee wa wapi bibi sauda mwilima shoga ake haruc yake alipambwa kama jini na ailivyojichubua sasa kwenda kumponda kwenye blog na kipindi chake cha haruc eti aliempamba aunt ka?mpamba vibaya yee mbona hakupambwa vizur akatulia kwenye ndoa zake maana kama haruc kafanya mbili cjui na mtoto mkubwa wa kiume anae anaachakuwaza atamsomeshaje anaangaika kununua matako mpxiuuuuuu”
Hii kutoka kwa Rayuu mwenyewe: “hahahahah matako ananunua lkn bado flat!!alafu nahisi c mzm yule!”
“Hihihhhihihi mpk raha eti jLo khaaa zake zshapita aclazimishe kurudi tena” na nyingine nyingi tu za aina hiyo. Angalia screenshot hapa chini.
Baadhi ya comments za wanaume:
“Bongo bana eti ndo ma celeb hawa ….. pumbavu think u got nothing to do …. all you hv inside of your hds is fuckin shits …. mnaboa kwa kweli …. mna andika ujinga tu ….. na we rayu kama umeudhiwa saaaaaana bora mgemalizana hukohuko si haya tuhusu. wadogo zenu wanasoma upumbafu wenu mnaoandika…. embu elimikeni kidogo …..!
i thought you were a lady kumbe hamnazo. a lady shes listen en do her own things privatly sio kama hivi …. kudadeki ningekuwa na uwezo ningewachapa nyoooote cos mnatutia aibu.”
“wy masuper star bongo mnadhalilishana sana badilikeni bana fichianeni aibu saidianeni kama alivyofanya Wema kwa Kajala.” Angalia screenshot hapa chini kwa comments zaidi za wanaume.
Mtazamo wako? Funguka!
SINTA AMEFUNGUKA JUU YA RAYUU
Baada ya muigizaji wa filamu na video model Alice Bagenzi AKA Rayuu
kupiga picha za kuonyesha tattoo zake, mtangazaji wa kipindi cha
Harusini cha DTV, Sinta, ambaye inaonekana hakupenda kitendo hicho,
kutokana na picha hizo kuwa za “utata” amemchana Rayuu kwenye website
yake, sintah.com.
“Hivi mtasema mimi namuonea kuandika hivi ama?? mimi ni mtambo wa
kurekebisha tabia kwakweli waigizaji wengine wanatafuta umaarufu kwa
kasi sana,sasa huyu so called msanii wa Bongo wa filamu anataka atoke,na
ameshatoka sasa,una pose upigwe picha ili watu wakuone ktk mitandao ili
iweje? kama sio kutaka umaarufu kunuka,” ameandika Sinta.
“Rayuu or whatever u call ya self wewe ni msichana mzuri kwanini unakimbizana na umaarufu ?waacha umaarufu ukufuate sio wewe uu kimbize ndio maana watu wanawachukulia cheap kwasababu ya matendo yenu ya kukurupuka na upungufu wa mawazo. You wanna be rihhana sio? shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!”
Rayuu, ambaye ameigiza kwenye filamu kama The Image, Trinita Show, Sound of Death, One House n.k, amefunguka na kutoa kauli yake kuhusu alichosema Sintah. Kwenye ukurasa wake wa facebook, Rayuu ameandika:
“Sintah dn talk on tings ambazo hujui zilipo anzia u were supposed to ask coz u dn evn knw wea da pic came from besides kwan mgongo ni uchi or tatoo ni uchi i may nat speak may b bcz i dn c da reason ya mm kupoteza pumzi yangu on smthng ambacho kimesababishwa na mtu mmoja and kwann usinge nifata personal if u really want to correct me!pics za uchi mnaziacha hiyo tatoo imekuwa gumzo! Having tattoos on ma body s nat a crime anyway!na pia mgongo c uchi!”
“B4 Kumsafisha mwenzako make sure upo msafi na ww!!” Aliongeza. (picha/screenshot chini)
Rayuu akionyesha tattoo zake. Picha via dartalk.com Rayuu akionyesha tattoo zake
Rayuu Sintah
“Rayuu or whatever u call ya self wewe ni msichana mzuri kwanini unakimbizana na umaarufu ?waacha umaarufu ukufuate sio wewe uu kimbize ndio maana watu wanawachukulia cheap kwasababu ya matendo yenu ya kukurupuka na upungufu wa mawazo. You wanna be rihhana sio? shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!”
Rayuu, ambaye ameigiza kwenye filamu kama The Image, Trinita Show, Sound of Death, One House n.k, amefunguka na kutoa kauli yake kuhusu alichosema Sintah. Kwenye ukurasa wake wa facebook, Rayuu ameandika:
“Sintah dn talk on tings ambazo hujui zilipo anzia u were supposed to ask coz u dn evn knw wea da pic came from besides kwan mgongo ni uchi or tatoo ni uchi i may nat speak may b bcz i dn c da reason ya mm kupoteza pumzi yangu on smthng ambacho kimesababishwa na mtu mmoja and kwann usinge nifata personal if u really want to correct me!pics za uchi mnaziacha hiyo tatoo imekuwa gumzo! Having tattoos on ma body s nat a crime anyway!na pia mgongo c uchi!”
“B4 Kumsafisha mwenzako make sure upo msafi na ww!!” Aliongeza. (picha/screenshot chini)
Rayuu akionyesha tattoo zake. Picha via dartalk.com Rayuu akionyesha tattoo zake
Rayuu Sintah
KAJALA HOT IN TOWN IN HER PARTY BY WEMA
Picha za Party ya kumkaribisha Kajala uraiani, iliyofanyika at
Ambassador Lounge. Mastaa na warembo mbalimbali kama DJ Fetty, Aunt
Ezekiel, Wema Sepetu (of course) na wenginge. Zifuatazo ni picha za
shughuli hiyo na link ya picha zaidi.
Wema, Kajala & friend wakipozi kwa picha
Wema akimmiminia Aunt Ezekiel kinywaji
Wema, Kajala & friend wakipozi kwa picha
Wema akimmiminia Aunt Ezekiel kinywaji
KAJALA AMUUA KUJICHORA JINA LA WEMA KUONYESHA APRICIATION KWA ALICHO MFANYIA.....
New photos: Kajala achora tattoo ya jina la “Wema” begani
Msanii wa Bongo movie ambaye hivi karibuni alinusurika kwenda jela
baada ya Wema Sepetu kumlipia faini ya TShs milioni 13, amechora tattoo
ya jina la “Wema” begani kama mojawapo ya njia za kuonyesha shukrani kwa
alichofanyiwa na msanii mwenzie huyo.
Wema ame-post picha mpya kadhaa za Kajala @Instagram, ambapo mojawapo
inaonyesha tattoo hiyo, picha ambayo Wema ameambatanisha caption
ifuatayo: ”Me corazon…. she calls me her hero…. I sooo much appreciate
her… my frend, my sister.. im happy… #pureheart….. nothing but a pure
heart…” Kwa hili nakubaliana na Sintah, “mthamini anayekuthamini.”
kajala
Wema na Kajala
Kajala akionyesha tattoo yake mpya ya “Wema”
LIVE BILA CHENGA
KAMA VIPI UNGEICHUNIA HIYO CHUPI! YAANI UNAVAA WEWE AIBU NAONA MIE... AIBU HII UTAWEKA WAPI USO WAKO DADA?
Na Mwandishi Wetu
KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa liliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.
KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa liliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.
Hapo nani anavuta hilo kaptula tena? dada nae chupi ipo magotini.. watu wabayaaaa
Huyu mpiga picha hafai, hapa sijui alikaa wapiti akapata picha hii....
Sura zenu zimekuwa ndogooooooo, sasa nauliza, nyie ni wapenzi au mnaibiana? yaani kila mtu ana wake? UKIMWI utaisha kweli
Waandishi wa Global mko juu.. Big up, vipi lakini, walikuwa na zana?(kinga)
Ni afadhali ungeichunia hiyo chupi... dooooh! unavaa wewe huku naona haya mie...
Subscribe to:
Posts (Atom)