Friday 18 August 2017

WAAKWAMA


its a short film (20 minutes) about love and drug addiction. its writtend and directed by  Anyamlye steve mtetemela. the film is about a girl who invites her boyfriend in her village withought knowing that kisoky is addicted to drug to get more information about this film go youtube  WAAKWAMA
to watch the trailer click the link below dont forget to subscribe and leave your comments.
https://www.youtube.com/watch?v=tOTn6M1QF28

Thursday 6 July 2017

dogo janja amkubali ANTALOV MITINDO kwa kutupia na swaga

Dogo janja msanii maarufu nchini tanzania amvulia kofia kijana antalov mitindo kwa upande wa kuvaa kimitindo na jinsi anavyotokea kwenye picha zake kupitia page ya ANTALOV MITINDO. kijana huyo alipewa sifa hizo baada ya dogo janja kumuona kwenye club moja dar.















Sunday 5 October 2014

Aibu! Serengeti Boy na mke wa kigogo wanaswa live gesti,mwenye mke apagawa…!!

KABAANG! Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live’ gesti akiwa na mke wa kigogo mmoja (jina kapuni), aitwaye Mwanaidi wakijiandaa kuvunja amri ya sita.
Baada ya fumanizi kati ya Serengeti boy aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine na mke wa kogogo.
Baada ya fumanizi kati ya Serengeti boy aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine na mke wa kogogo.
Tukio hilo lilijiri Septemba 18, mwaka huu kwenye gesti moja maarufu iliyoko mitaa ya Kitangiri baada ya kigogo huyo kupewa ‘ubuyu’ kwamba anaibiwa mali yake ndipo akaandaa mtego na kufanikiwa kumnasa kijana huyo alipokutwa kwenye chumba namba 4 cha gesti hiyo akijiandaa kuserebuka.
“Kigogo alipopewa mchoro huo na wambea, siku ya tukio alimshtua Mwenyekiti wa Mtaa wa Kitangiri, Maginga Patroba, wakatia timu katika gesti hiyo, wakawakuta wachepukaji hao wakiwa kitandani huku Marck akiwa tayari ameshachojoa nguo, Mwanaidi akiwa bado,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:
Akisainishwa kulipishwa faini.
Akisainishwa kulipishwa faini.
“Kigogo aliamuru wahudumu wagonge mlango ili wahusika wasishtuke, walipofungua ndipo mwenyekiti sabamba na kigogo huyo wakazama ndani.”
Mwanaidi alipoona flashi za kamera ya mapaparazi zikiwamulika, alianza kuangua kilio mbele ya mumewe kumuomba awasamehe lakini kigogo huyo alimtaka kijana huyo amlipe fidia ya shilingi milioni moja kama adhabu ya kutembea na mke wake.
Kutokana na hali ya uchumi ya kijana huyo kutokuwa nzuri, hakuweza kulipa kiasi hicho cha pesa badala yake aliomba kupewa muda wa kulipa pesa hizo.
Barua ya makubaliano ya kulipwa pesa kwa kigogo huyo shilingi laki tano.
Barua ya makubaliano ya kulipwa pesa kwa kigogo huyo shilingi laki tano.
Chini ya uangalizi wa mwenyekiti, Marck aliandika barua ya makubaliano jinsi ya kulipwa kwa kiasi hicho cha pesa kwa kigogo huyo na iwe kama fundisho kwake kuachana na tabia za kutembea na wake za watu.
Kwa upande mwingine, mwenyekiti Patroba alikiri kumfahamu Marck na kudai ni kijana wa mtaani kwake na kumuonya asirudie mchezo huo mchafu.
Mke huyo wa Kigogo aliyefahamika kwa jina moja la Mwanaidi akiwa analia akiomba msamaha kwa mumewe.
Mke huyo wa Kigogo aliyefahamika kwa jina moja la Mwanaidi akiwa analia akiomba msamaha kwa mumewe.
“Namfahamu huyu kijana nimeshangazwa na kitendo hiki anachokifanya kwani ni vitendo ambavyo havikubaliki katika jamii hivyo kama kiongozi wa mtaa huu nitaendelea kutoa ushirikiano ili kuukomesha tabia kama hizi za kuvunja miji ya watu,’’ alisema Patroba.

18+ mrembo Brenda Nambi aumbuka baada ya picha zake za utupu kuvuja.

Leo  nilikuwa  Uganda  na  ninaomba nikupekulie  nilichokutana   nacho  huko....
  
Katika  pita pita  zangu  nimekutana  na  picha  za  utupu  za  msanii  maarufu  nchini  humo  Brenda  Nambi  ambazo  kwa  Uganda  ndo  habari  ya  mjini  kwa  sasa.....
Brenda  kwa  Bongo  ni  kama  Madam  Wema  Sepetu, nadhani  unaweza  pata  picha  sasa!



AIBU: MKE WA KIONGOZI AKIMBIA MTAA BAADA YA PICHA ZAKE ZA UC*H*I ZIMEBANDIKWA KWENYE ZA UMEME


 
Aibu ya mwaka imemkuta huyu mama baada ya picha zake kubandikwa kwenye guzo za umeme,wamefanya hivi kutoka kana na tabia mbaya ya huyu mama kugawa uroda kwa vijana wadogo

HONGEAR HASHIM RAMSEY (HASHIM KAMBI) KWA KUFUNGA NDOA

Alhamdulilah! Mungu mkubwa, asanteni kwa Dua zoote njema kwangu. Na mimi sasa ni MUME wa mtu.

KUTANA NA BINTI MWENYE MAKALIO MAKUBWA ZAIDI KUTOKA MOMBASA...HUYU HAPA jeynel-dorothy-1


jeynel-dorothy-1
Anajulikana kwa jina la Jey’nel Dorothy ni msichana mzuri sana kutoka Kenya ambaye kwa sasa anaiteka social Media hasa Instagram kwa kutupia picha zake baadhi hizi hapa..



jeynel-dorothy-2


jeynel-dorothy-3




jeynel-dorothy-4


jeynel-dorothy-6


jeynel-dorothy-5


AIBUUU: ONA VIDEO YA MWANAFUNZI WA SEKONDARI AKILIWA NA MWALIMU WAKE GESTI

Wakati wanafunzi wengine wanaumizaa akili zao kuwa ni kwa namna gani watatimiza ndoto zao za kufaulu mitihani vizuri, wengine bila haya wanazunguka magesti na wazee, hasa waalimu wao!

Hii ni aibu kubwa sana na ndio maana tunaona siyo vyema sana tukataja jina la mwanafunzi huyu pamoja na mwalimu wake au shule yao kwa maana inaweza ikajenga picha mbaya zaidi.

Chanzo cha udaku huu kinasema kuwa mwanafunzi huyu alitoroka shuleni na kuingia gesti na mwalimu wake.  Kilichowajulisha watu kuwa alikuwa ni denti, ni yeye kukimbia CHUPI MKONONI kwa uoga kutoka ndani ya chumba hicho na kuelekea risepsheni kutokana na kuona ududu wa mwaimu wake ni mkubwa mno na hivyo ungeweza kumchanachana vibaya!

Alipoingia hapo gesti alikuwa kavalia shati juu ya hiyo tisheti na ndiyo sababu kubwa kuwa hakugundulika kuwa ni denti!!!!!!

Sunday 23 March 2014

V SHIRTS ZA ZUA GUMZE BAADA YA KUOMBEWA NA WATU ANGALIA PICHA HAPA

Model maarufu james alipolazimika kuvua V shirts na kumkabidhi shabiki wake baada ya kugombaniwa na watu kua awavulie shirts hizo zenye style mpya dunia nzima zikianzia tanzania model huyo alie batizwa jila la MR V SHIRTS
JAMES MAARUFU KAMA MR V SHIRTS akiwa ametupishirt yake kabla ya kugombaniwa na mashabiki alipofika ufukweni kwa mapumziko

Friday 28 February 2014

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI ZA KUTISHA, ALIYE NA UJASIRI TU NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18 ANASTAHILI KUANGALIA. ZINATISHA NARUDIA ZINATISHA


http://3.bp.blogspot.com/-mRd4TXm5QRk/Uw902AcGAjI/AAAAAAAADrU/0urEa58Ztzg/s1600/aa.png

http://3.bp.blogspot.com/-1scrNNL0v8E/Uw901Nayc1I/AAAAAAAADrI/CaSf70iv3z8/s1600/aaa.pnghttp://3.bp.blogspot.com/-Bsi9qHJJn5c/Uw900U3jxyI/AAAAAAAADrE/ESCJyrqFsI4/s1600/aaaa.pngMauti ya kikatili ya mama anayedaiwa kuwa ni mzazi wa diwani wa viti maalu wa Bukumbi huko wilaya ya Uyui mkoani Tabora yametokea jana tar. 26.02.2014. Kwa mujibu wa chanzo chetu kikiwasiliana na aloyson.com imedaiwa kuwa polisi wanaendelea na uchunguzi wa chanzo cha kifo hicho cha kuvamiwa mwanamke huyo na watu wasiofahamika.

soma hapa kwa maelezo zaidi ALOYSON.COM

Benki ya Dunia 'yabana' msaada kwa UG


Wafadhili wakatiza misaada Uganda
Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuishinisha sheriua mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja.
Benki hiyo imesema kuwa inataka kufanya tathmini yake kuhakikisha kuwa malengo yake ya maendeleo nchini Uganda katika sekta ya afya, ambayo msaada huo ulikuwa unanuiwa, hayataathirika .
Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.
Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama Denmark na Norway wamesema kuwa wataanza kufadhili mashirika moja kwa moja badala ya serikali.
Aslimia 20% ya bajeti ya Uganda inategemea michango ya wafadhili.
Mpaka sasa nchi tatu za Ulaya zimeamua kukata misaada yao kwa mamilioni ya dola.
Wizara ya fedha ya Uganda imesema inasubiri mawasiliano rasmi ya nchi husika, na iko tayari kukabiliana na athari za hatua hiyo.
Hadi kufikia sasa Waziri wa Fedha Wa Sweden, akiwa mjini Kampala, alisema waekezaji kutoka nchi yake watakuwa na wakati mgumu kuweka pesa zao nchini Uganda kwa sababu watakuwa na hofu kuwa sheria yo yote inaweza kupitishwa kuwadhulumu watu.
Jana serikali ya Uholanzi ilisema itazuia kwa muda misaada kwa Serikali ya Uganda. Norway na Denmark pia zimetangaza kupunguza au kusimamisha kwa muda misaada yake kwa Uganda.

Thursday 27 February 2014

MUAANDAJI WA FILAMU STEVE KHALFAN SUNDAY ANENA NA WADAU WA FILAMU HASA DODOMA soma hapa alichokisema

Sunday Khalfan
""HABAR ZA MUDA WAPENDWA.NINACHAKUZUNGUMZA HAPA,KWA KUWA SINA No.ZA SIM ZA WASANII NA WAZALISHAJI(Producers) NIMESHNDWA KUWAFIKIA WOTE,LAKN HAPA FB NAJUA WENG MPO NA NI RAFIK ZANGU.
UJUMBE WANGU::
Ninawaheshmu sana wasanii wa filamu na wazalishaj na wadau wote (HUSUSAN MKOA WA DODOMA).
Jaman kwan mtu kuamua kupiga hatua ya kujisimamia mwenyewe katika kaz ni makosa? Mm sikufundishwa kumtegemea mtu katika maisha yangu ya kila siku. Sasa unapokaa na mtu na kuambiwa kuwa siwapend wasanii wa filamu Dodoma na wazalishaj(PRODUCERS) kuwa nazungumza hakuna anayenizid mm,maana yako n ip hasa? Katika matukio yote muhmu ya wasanii wa Fílam nimekuwa nikihudhuria na kushilikiana vyema na wasanii. Wazalishaj wa filam tumekuwa tukikutana vzur tu na kupanga mipango ya kisanaa mkoa wa Dodoma.
Aisee najua watu wanakuamin sana kwa utash wako na utu uzima wako,lakn kama mtu akikaa na wew kwa muda atakuelewa vzur.
Wasanii na Wazalishaj wa Dodoma mm niko pamoja na nyiny huyu anayeleta chokochoko zake tayar ana maisha na Familia. Sis bdo vjana na tunatafuta,so plz bdo mkoa haujakua kisanaa haina haja ya kupishana hv.
Mm bdo nipo Dodoma na ninaendelea na kaz yangu ya kuandaa filam,Huyo anayesema nimeacha kwa kuwa hanion anawadanganya.

Nawaheshmu na ninawapenda sana.
***************GUD DAY***************    
ALINENA HAYO KUPITIA UKARASA WAKE WA FACEBOOK

Wednesday 26 February 2014

Tuesday 25 February 2014

WEMA SEPETU AWACHIMBA MKWARA CLOUDS FM

UJUMBE WA WAZI KWENU UONGOZI WA CLOUD'S FM.
Hivi mnanitafuta kitu gani?mmenifatilia kwenye mziki mmeshindwa sasa naona mmeanza kufuatilia maisha yangu!?
Hata kama mafanikio ya maisha yangu yametokana na mikopo ya NATIONAL LOANS nyie inawahusu??Mnashangaa mini kukopa mikopo katika Taasisi ya NATIONAL LOANS Kwani mimi nani mpaka nisikope?Matajiri wangapi wakubwa duniani wamefanikiwa kupitia mikopo hamjawaona?Mpaka mje kuniongelea mtu kama mimi.kwa Taarifa yenu mkae mkijua hizo fitina mnazotengeneza zitawarudi wenyewe na kama mlikuwa hamjui nimejiunga na Taasisi ya Marekani ILa kwa Hapa Tanzania Matawi Yao yanapatikana BARCLAYS BANK.Kwa sababu wanatoa mikopo nafuu na isiyokuwa na RIBA Jaza fomu utapewa mkopo ndani ya DAKIKA 45.Hata kama upo mkoani utatumiwa mkopo Wako ndani ya DAKIKA 45.Napenda mafanikio Mema kwa watanzania bila ubaguzi wowote.Sio kukaa mnajadili watu wa CLOUD'S FM,Kwa yeyote niliyemuudhi kwa haya maneno makali naomba anisamehe sana,kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715552098 na 0762764322 na 0784492321.Jiunge na upate mkopo Wako BOFYA HAPA http://National-Loans.wapka.mobi

Monday 24 February 2014

Mapenzi ya jinsia moja haramu Uganda


Moses mwanamume anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja atafuta hifadhi nchini Marekani
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada wenye utata unaotoa adhabu kali kwa watakaopatikana wakishiriki mapenzi ya jinsia moja.
Rais Museveni alitia saini mswada huo nyumbani kwake katika hafla iliyoshuhudiwa na maafisa wakuu wa serikali pamoja na wandishi wa habari.
Mswada huo ambao sasa utakuwa sheria, unatoa adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa wale watakaopatikana na hatia ya kuhusika na mapenzi ya jinsia moja.
Mswada huo pia umeharamisha wanaharakati kutangaza misimamo yao hadharani kuhusu au kuwasaidia wanapenzi wengine wa jisnai moja kujitangaza hadharani.
Adhabu hiyo pia itatolewa kwa wale wanaopatikana na hatia ya kuwahusisha watoto katika vitendo hivyo, walemavu au kumuambikiza mtu virusi vya Ukimwi katika mapenzi ya jinsia moja.
Mswada huo umepigiwa debe sana nchini Uganda, lakini mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameulaani.

Uganda imepuuzilia mbali shinikio za Marekani na nchi zengine za Magharibi kutopitisha sheria kali dhidi ya vitendo vya mapenzi ya jinsia moja.

Mswada huo umeweka sheria kali zaidi dhidi ya uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja kwa yeyote atakayepatikana akishiriki.
Usagaji pia umeharamishwa kwa mara ya kwanza na pia ni hatia kumsaidia mtu kushiriki mapenzi ya jinsia moja. Wanaharakati wa kutetea haki za wapenzi wa jinsia moja wanasema wanajiandaa kwenda mahakamani kupinga sheria hiyo mpya.
Uganda ni miongoni mwa mataifa 30 Afrika ambayo yameharamisha mapenzi ya jinsia moja. Ni wiki jana tu ambapo Rais wa Gambia Yahyah Jammeh aliyesema mapenzi ya jinsia moja ni sumu kali mn