Sunday 16 June 2013

HIZI NDIO PICHA ZA DADA ALIYEAMUA KUVUA NGUO HADHARANI NA KUBAKI UCHI BAADA YA KUZIDISHA POMBE HUKO MBAGALA ZAKHEIM...!!

DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulukana mara moja aliuacha hoi umati wa watu walikuwa kwenye baa moja hivi (jina kapuni) huko mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote na kubaki uchi wa mnyama na hivyo kusababusha hali ya taharuki katika maeneo hayo.







Chanzo chetu zha karibu kinadai ya kuwa dada huyo alifika maeneo hayo akiwa vizuri kabisa na hali hiyo ambayo ilionekana kuwa si ya kawaida ilianza pale alipoanza kuzitiririssha bia nyingi mno ambazo alikuwa akihongwa na vijana ambao alikuwa amekaa nao mezza moja..





No comments: