Saturday 10 August 2013

BAADA YA COCA COLA KUMLETA DIAMOND NA NDEGE BINAFSI KUTOKA KENYA HIKI NDIO AMEFIKIA KUKIFANYA



Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.

Baada ya jana Cocacola kumchukulia private jet toka Nairobi hadi Dar es Salaam, Bongo Flava Prince, Nasib ameingia mzigoni kushoot tangazo jipya la Cocacola. Kwenye picha za utengenezaji wa tangazo hilo alizoziweka kwenye Instagram, Diamond anaonekana akitembea huku akinywa soda hiyo.


Source:Bongo5

No comments: