Wednesday 24 July 2013

CHRISTINA ADEL ATISHA MAMODEL WOTE BONGO............

CHRISTINA ADEL (21) alietoa kauli kali kwa wrimbwende wote Tanzania kua hana mchezo wala masihara na kazi sasa amekuja na moto mkali.
mrembo huyo anaefanya vizuri kwenye kazi za modeling ndani na nje ya nchi amefanya kazi nyingi zikiwemo KALI ELEGANCE SHOW, DAR FASHION FESTIVALPHOTOSHOOT na NIDA TEXTILE SHOW.
Mrembo huyo aliongea hayo alipokua akihojiwa na mwandishi wetu Arnold Adel jr makao makuu ya ofisi zetu. alinukuliwa akisema " Sina masihara na kazi hivo wanafanya modeling wajipange tena sana, HAPANA CHEZEA CHRISTINA WEWE......






No comments: