Saturday 20 July 2013

BAADA YA KUFUTURISHA,DIAMOND ASOMA DUA NYUMBANI KWAKE...

Huu ulikuwa wakati maalumu kwaajili ya Dua takatifu kumuomba
Mwenyezi Mungu Rehema zake zitawale juu yetu
na kutuepusha na mabaya ya dunia na kutufanyia wepesi kwenye
 maisha yetu ya kila siku sambamba na
kuwaombea wasiojiweza,yatima,wajane,wagonjwa na vilema...


Namshukuru
Mungu kwa kufanikisha jambo ili kwenda
kiufasaha zaidi,napenda pia kumshukuru kila mmoja alieweza
kujumuika na mimi na familia yangu
kufanikisha dhifa hii........

Napenda kuchukua nafasi hii kukujuza kwa picha mtu wangu
wa kweli waeza cheki picha za tukio zima wakati
wa Dua inasomwa nyumbani, home sweet home kwa mama Naseeb Sinza......







Kisomo kikiendelea.....


Bi Sandrah akitia ubani....
Dada yangu Queen Darlene akitia ubani....
Hamza Bala....
Ommy Dimpoz akukosa nae kama mtoto wa kiislamu....
Rama tonser....


Shetta akukosekana wakati wa kusoma dua hii.....
Twinsfashion....
Nikiweka ubani kuitimisha Dua hii kama mlengwa...
Emma & Emma Platnumz usishangae hawa wote ndo majina yao....



Dianna dada ake mimi & Mama yangu mimi Bi Sandrah....

Rommy Jones akiwashukuru wageni kwa kujumuika nasi
siku ya leo kwenye Futari na kisomo

Nikitoa sadaka kwa watoto wanaolelewa kwenye kituo cha watoto yatima waliofika kufturu
nami nyumbani kwangu kidogo nipatacho basi mungu amenijaalia niweze kugawana nao..











Kutoka nje nikakutana na Dad G,Guru G Love alikuwa
amefika muda lakini kutokana na Dua kuendelea
ndani atukupata muda wa kusalimiana....
Kutoka kushoto,Ommy Dimpoz,Shetta the Don,Producer Nguli
 nchini Tanzania mi namuita Dad G wewe
waeza muita Dad pia au Guru G Love na mimi mwenyewe waeza
nihita Naseeb au kichwa kama mama
yangu aniitavyo....
Mapenzi tele kwa watoto hawa waliojumuika nami hakika
mwenyezi mungu awabariki
na azidi kuwaongoza katika njia zake....


Baada ya Dua nikiteta jambo na Ustaadh akinipa
mawaidha mawili matatu juu ya mwezi huu mtukufu

No comments: