Saturday 15 June 2013

MATUSI KWA MANGWEA T.ID AMUAHIDI OMMY DIMPOZ KUMCHAPA MAKONDE KAMA MTOTO

Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu Albert wallahi mungu 
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"

No comments: