Saturday 15 June 2013

JOH MAKINI ALAZWA SINZA PALESTINA ANAHITAJI MAOMBI YAKO

Rapper Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana. Joh anadai malaria ni kali sana na anaendelea na sindano na drip. Like, Comment na share yako kumuombea ndugu yetu.

No comments: