Friday 10 May 2013

WALIOKUFA KWA MABOMU ARUSHA WAAGWA HIVI??


NI SIMANZI,VILIO NA MAJONZI MAZISHI YA WALIOKUFA KWA BOMU ARUSHA,PICHA HIZI HAPA




Mapadri wa kanisa katoliki wakiwa wamebeba jeneza  lenyenye mwili wa mmoja wa waliokufa katika tukio la kutupwa kwa bomu la mkonokatika kanisa la Olasiti Arusha may 5, 2013. mazishi yaliyofanyika leo 




 Mapadri wa kanisa katoliki wakiwa wamebeba jeneza  lenyenye mwili wa mmoja wa waliokufa katika tukio la kutupwa kwa bomu la mkonokatika kanisa la Olasiti Arusha may 5, 2013.
 





Mapadri wa kanisa katoliki wakiwa wamebeba jeneza  lenyenye mwili wa mmoja wa waliokufa katika tukio la kutupwa kwa bomu la mkonokatika kanisa la Olasiti Arusha  




 Mapadri wakiwa wamebeba mislaba yenye majina ya marehemu wawili kati ya watatu waliofariki kwenye tukio la bomu la kurushwa kwa mkono kwenye kanaisa la Olasiti jijini Arusha May 5, 2013, katika ibada ya mazishi iliyofanyika kwenye  kanisa hilo leo 





 Askofu wa Jimbo Kuu la Arusha, Mhashmu Josephat  Lebulu  akinyunyuzia maji miili ya waumini wa kanisa hilo waliofariki katika tukio la kurushwa  kwa

No comments: