Tuesday 28 May 2013

HAYA NDIO MAANDALIZI YA UJIO WA OBAMA BONGO


 Raisi wa Marekani anaetarajiwa kuja Tz hivi karibuni ulinzi wake utakuwa Hivi...Atakuja na watu Mia Saba..Wakiwemo walinzi ...inavyosemekana tayari wengine washaingia nchini kimya kimya kuangalia usalama



No comments: