Friday 12 April 2013

LIVE BILA CHENGA

KAMA VIPI UNGEICHUNIA HIYO CHUPI! YAANI UNAVAA WEWE AIBU NAONA MIE... AIBU HII UTAWEKA WAPI USO WAKO DADA?

Na Mwandishi Wetu

KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa liliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.
Hapo nani anavuta hilo kaptula tena? dada nae chupi ipo magotini.. watu wabayaaaa

Huyu mpiga picha hafai, hapa sijui alikaa wapiti akapata picha hii....


Sura zenu zimekuwa ndogooooooo, sasa nauliza, nyie ni wapenzi au mnaibiana? yaani kila mtu ana wake? UKIMWI utaisha kweli


Waandishi wa Global mko juu.. Big up, vipi lakini, walikuwa na zana?(kinga)

Ni afadhali ungeichunia hiyo chupi... dooooh! unavaa wewe huku naona haya mie... 
Hapo ndo mmejificha? poleni sana jamaneni, mkome fyuuuuuuuu

No comments: