New photos: Kajala achora tattoo ya jina la “Wema” begani
Msanii wa Bongo movie ambaye hivi karibuni alinusurika kwenda jela
baada ya Wema Sepetu kumlipia faini ya TShs milioni 13, amechora tattoo
ya jina la “Wema” begani kama mojawapo ya njia za kuonyesha shukrani kwa
alichofanyiwa na msanii mwenzie huyo.
Wema ame-post picha mpya kadhaa za Kajala @Instagram, ambapo mojawapo
inaonyesha tattoo hiyo, picha ambayo Wema ameambatanisha caption
ifuatayo: ”Me corazon…. she calls me her hero…. I sooo much appreciate
her… my frend, my sister.. im happy… #pureheart….. nothing but a pure
heart…” Kwa hili nakubaliana na Sintah, “mthamini anayekuthamini.”
kajala
Wema na Kajala
Kajala akionyesha tattoo yake mpya ya “Wema”
No comments:
Post a Comment