Friday 2 August 2013

SINTAH "SISI MASTAA WENYE MASTERS DEGREE HATUWEZI PIGIZANA KELELE NA MASHOROKO MEGENI"



Sintah leo kaja na haya : jisomee mwenyewe

"Ukifungua gazeti la babkubwa toleo jipya ,kurasa ya katikati shurti utakutana na kichwa cha habari MASTAA Ambao shule imelala kichwani, seriously kuna siku mdau alinitumia comment maana mimi na magazeti ni hasi na chanya, 
kilichoandikwa ni ukweli mutupu jamani khaaa sasa mtu mwenye MA apigizane kelele na mashoroko mageni aaaah wapiii??

though babkubwa mmejichanganya sana maana mmeandika ndivyo sivyo one n only CEO anayetambulika ana MA International Relations and Diplomacy naomba ieleweke hivyo, sijui kwa wengine mliowaja kama ni sawa ama ila me mmenimixia sana na ma post graduate ya nini mieee?

 CEO's 
MA International Relations n Diplomacy
BA Public Administration and Management  (kwa wale ambao mme cram  BA hamkawii kusema Business Admin khaaaa ni Bachelor of Arts in PAM muelewe sasa.

hope tumeelewana ila sivibaya nikawataja na wenzangu ambao tuna hadhi ya kipekee (sio mchezo,, sonyaa, kwanini ilikushinda kama ni rahisi?? ukipata jibu utakuwa umenielewa chezeyaa kufanya research weweee)

Mwegelo Jokate 
Black Rhino
Dj Fetty
Nikki wa Pili
Hamisi Mwinjuma
Ally Remtullah
na mwenyewe CEO wa ukweeeh 

UJUMBE
unaweza ukawa kama  hao hapo juu ila acha majungu, umbea, fitina, hela unazozipata kama ni mwanadada usijipeleke kununua lace wig, sijui Galaxy zichange mdogo mdogo ujitupe kile chuo kinaitwa V*** fasta .

The roots of education are bitter, but the fruit is sweet.

okaybyeeee..
Swaum Maqbul" Sintah

No comments: