Sunday 18 August 2013

FEZA KESSY MATITI YOTE NJE NJE UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA LADY JAY DEE






Video ya yahala ilizinduliwa rasmi jana pande za nyumbani lounge. Baadhi ya wasanii kama Feza Kessy ambaye alikuwa mgeni rasmi, Vanessa Mdee  na  Mkolon...

Pamoja  na  kuwa  mgeni  rasmi, Feza  anadaiwa  kuwa  miongoni  mwa  wasanii  waliokuwa  wamevaa  vibaya huku sehemu kubwa ya matiti yakiwa wazi

Vazi   lake  lilikuwa  likiyaanika  matiti  yake  hadharani, hali  ambayo  iliwafanya  hata  watoto  wayashuhudie.

No comments: