Tuesday 27 August 2013

DEMU MKENYA AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA DIAMOND PLATINU


Demu Mkenya Angel Maggy, aliyedaiwa kutoka na Staa wa Bongo Fleva Nasib Abdul‘Diamond Platinum’ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha Tujuane cha kituo cha Tv cha KTN cha nchini humo amefunguka na TEENTZ kuhusiana na uhusiano wake na msanii huyo wa Bongo


Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Jijini Nairobi alisema kuwa hana uhusiano na msanii huyo na anashangaa hayo maneno kusambaa na kwamba yeye ni shabiki mkubwa wa Diamond.
‘No …Diamond is apal lyk any other..yy shld I date him??Am not in love with him’alisema Angel.
Alipoulizwa kwanini ameamua kuchora tattoo ya msanii huyo kwenye mkono wake alisema kuwa kuchora…


Jast tat I got atattoo named diamond doesn’nt mean ama dating him’alisema Angel.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari za burudani vya Kenya, zilisema kuwa ishu ya kutoka na Diamond ilianza kuvuma mara baada ya kufanya shoo mbili katika Miji ya Nairobi na Mombasa nchini humo,ambapo aliporejea Bongo ndipo ukaibuka mlipuko wa habari zilizomhusu na mrembo huyo.


Jast tat I got atattoo named diamond doesn’nt mean ama dating him’alisema Angel.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari za burudani vya Kenya, zilisema kuwa ishu ya kutoka na Diamond ilianza kuvuma mara baada ya kufanya shoo mbili katika Miji ya Nairobi na Mombasa nchini humo,ambapo aliporejea Bongo ndipo ukaibuka mlipuko wa habari zilizomhusu na mrembo huyo.

Ilisemekana kuwa alipokuwa akifanya shoo kwenye Ukumbi wa KICC, Nairobi siku ya kwanza, Diamond aliimba wimbo wake wa Ukimuona maalum (dedication) kwa ajili ya Angel, jambo lililomfanya mrembo huyo kuonekana ‘spesho’ miongoni mwa maelfu waliohudhuria onesho hilo.

Imeripotiwa kuwa baada ya shoo hiyo kumalizika USIKU, Angel alionekana ‘beneti’ na Diamond wakielekea katika hoteli aliyofikia staa huyo Nairobi.

No comments: