Thursday 18 July 2013

MWANAFUNZI AJIUA KISA KALAZIMISHWA KUSOMA.

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Tegeta Jijini Dar es Salaam. Bertha Amir (14)amejinyonga hadi kufa kupinga kulazimishwa na mama yake mzazi kusoma.

No comments: