UNAMJUA MSANII MWENYE USHIRKIANO NA WATU HANA
KINYONGO NA MTU “DAVINA”
DAVINA
(Halima yahaya) maisha yake ni ushirikiano upendo na tabasamu lakini mtu mwenye
amani na kila mtu Davina ni msanii wa filamu Tanzania (bongo movie) amekua
akishirikiana na wasanii wenzake vyema kiasi kwamba kila msanii humkubali
kutokana tabia yake ya kupenda kutoa ushirikiano katika kila jamabo iwe raha au
huzuni.
Halima
hachagui wasanii wakushirikiana nao ikiwa kikazi au kijamii. Chanzo chetu cha
habari kimekua kikimkuta sehemu nyingi akishirikia na na watu tofauti kwa ajili
ya maendeleo ya jamii kwa ujumla. Halima
ni mfano mzuri sana wa kuigwa na jamii pia na wasanii wenzake, mwahabari wetu
amekua akiwahoji baadhi ya watu mitaani juu ya halima na akapata majibu mazuri
bila kupata lalamiko lolote kutoka kwa wanachi, wengi wameonyesha kumkubalia
msanii huyu kwenye tasnia ya filamu inchini.
HALIAMA
pia hayuko nyuma kwenye michezo hushirikiana vyema na jamii katika
michezo kuimarisha afya yake
anyalovforyou.blogspot.com
pia kujijenga
kwa ajili ya kazi tofauti tofauti
No comments:
Post a Comment