“Rayuu or whatever u call ya self wewe ni msichana mzuri kwanini unakimbizana na umaarufu ?waacha umaarufu ukufuate sio wewe uu kimbize ndio maana watu wanawachukulia cheap kwasababu ya matendo yenu ya kukurupuka na upungufu wa mawazo. You wanna be rihhana sio? shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!”
Rayuu, ambaye ameigiza kwenye filamu kama The Image, Trinita Show, Sound of Death, One House n.k, amefunguka na kutoa kauli yake kuhusu alichosema Sintah. Kwenye ukurasa wake wa facebook, Rayuu ameandika:
“Sintah dn talk on tings ambazo hujui zilipo anzia u were supposed to ask coz u dn evn knw wea da pic came from besides kwan mgongo ni uchi or tatoo ni uchi i may nat speak may b bcz i dn c da reason ya mm kupoteza pumzi yangu on smthng ambacho kimesababishwa na mtu mmoja and kwann usinge nifata personal if u really want to correct me!pics za uchi mnaziacha hiyo tatoo imekuwa gumzo! Having tattoos on ma body s nat a crime anyway!na pia mgongo c uchi!”
“B4 Kumsafisha mwenzako make sure upo msafi na ww!!” Aliongeza. (picha/screenshot chini)
Rayuu akionyesha tattoo zake. Picha via dartalk.com Rayuu akionyesha tattoo zake
Rayuu Sintah
No comments:
Post a Comment