Msaniii mashuhuri wa Mziki wa bongo
fleva nchini Fid-Q Jamaa akiwa kwenye mizunguko yake nchini marekani...
angalau kwasasa wasanii wa Tanzaniaiwameanza
kufaidika na kazi zao... ziara ya fid q ilionekana kuwa na mafanikio na
kukutana na wasanii tofaut tofaut akiwemo mtumzima Fat Joe' kwahabari
zaid endelea kutembelea blog yetu.... Top Talent dio habari ya mjini
No comments:
Post a Comment