Sunday 14 April 2013

FID Q AKIWA KWENYE MATEMBEZI YAKE INCHINI MAREKANI

Msaniii mashuhuri wa Mziki wa bongo fleva nchini Fid-Q Jamaa akiwa kwenye mizunguko yake nchini marekani... angalau kwasasa wasanii wa Tanzaniaiwameanza kufaidika na kazi zao... ziara ya fid q ilionekana kuwa na mafanikio na kukutana na wasanii tofaut tofaut akiwemo mtumzima Fat Joe' kwahabari zaid endelea kutembelea blog yetu.... Top Talent dio habari ya mjini



No comments: