Thursday, 18 July 2013

MTOTO ABAKWA NA KUWEKWA MIWA SEHEMU ZA ZILI MPAKA KUFA...!!! (+18)


Vanusia Silva Pereila mdada mwenye miaka 9 mkazi wa kijiji kimoja nchini brazil,mapema wiki hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya.



 
MAELEZO ZAIDI KUTOKA CHANZO CHA HABARI HII HAYA HAPA.
The horrific crime happened in Arataca, state of Bahia, Brazil. Vanusia Silva Pereira was taken to a vacant lot, punched in the face, raped and then had a sugar cane forced up her snatch.

The victim’s father, identified as Mr. Wilson, an agricultural laborer told police that Vanusia chose bad company to hang out with lately and that was her demise. Police do not suspect that her murder was a crime of passion, however coroner who examined the body said the woman had been subjected to exceptional violence before death which brought the possibility of this being the crime of passion back into question.

UKWELI KUHUSU BINTI KIZIWI KUNYONGWA CHINA BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUU HAPA


MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda’ wa biashara hiyo haramu, Ijumaa Wikienda lina mtiririko wote.

Hivi karibuni, Video Queen wa Wimbo wa Masogange, Agnes Gerald ‘Masogange’ amedaiwa kunaswa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ akiwa na kilo mia moja na hamsini za unga unaoaminika ni sehemu ya madawa ya kulevya. Ameshapanda kortini mara moja Ijumaa iliyopita.
Wakati Masogange akisota Sauzi kwa madai hayo mazito, habari ya mjini kwa sasa ni ya mtalaka wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ally Mohammed ’Z-Anto’, Sandra Khan au Binti Kiziwi kudaiwa kutupwa jela miaka mitano kwa sakata la ‘unga’.

HABARI YA MJINI KWA SASA NI BINTI KIZIWI
Kuanzia Alhamisi iliyopita, habari zilizoligubika Jiji la Dar ni kuwa Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya.
Kwa mujibu wa mitandao, Binti Kiziwi alinyongwa wiki mbili zilizopita.
Hata hivyo, mitandao hiyo haikusema kama mrembo huyo alinyongwa hadi kufa au la! Sheria za hukumu hiyo, mwenye hatia anatakiwa kunyongwa hadi kufa.


UKWELI WA BINTI KIZIWI NI HUU
Baada ya kusambaa kwa manenomaneno hayo, Ijumaa Wikienda liliingia mtaani kuisaka familia ya Binti Kiziwi lakini bila mafanikio.
Kwenye makazi ya mama yake, Buguruni, Dar, majirani walisema mzazi huyo amehama baada ya kufunga ndoa siku chache kabla ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

IJUMAA WIKIENDA LAZIDI KUCHIMBA
Ijumaa Wikienda lilizidi kuzama ndani katika kuchimbua tetesi hizo ambapo lilifanikiwa kumpata ndugu wa kiume wa Binti Kiziwi na kufanya naye mazungumzo kama ifuatavyo:
Wikienda: Samahani, nimeambiwa wewe ni ndugu wa Binti Kiziwi, ni kweli?
Ndugu: (huku akitaja uhusiano wao) Ni kweli, nikusaidie nini?
Wikienda: Kuna manenomaneno kwamba Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya, ni kweli?
Ndugu: Sijui hizo habari watu wanazipatia wapi?! Watanzania wana maneno sana. Si kweli ndugu mwandishi.
Wikienda: Ukweli ni upi?
Ndugu: Kwanza kabisa Binti Kiziwi hakukamatiwa China, alikamatiwa Hong Kong, kwa sheria za kule mtu akipatikana na hatia ya kukutwa na ‘unga’ anahukumiwa jela tu.
“Binti Kiziwi amehukumiwa miaka mitano jela Hong Kong, na si China. Watu wajue hilo na miaka mitano si mingi, atatoka.”
Wikienda: Nashukuru sana kwa ushirikiano ndugu yangu.
Ndugu: Asante, waambie Watanzania waache kuongeaongea sana.

IREN ALIA NA ULIMBUKENI WA DIAMOND

Kufuatia kuripotiwa kwa habari
iliyopewa kichwa "DIAMOND
AFICHUA KISA CHA KULALA NA
UWOYA!" , mwanadada Irene
Uwoya ameamua kuvunja
ukimya na kueleza dukuduku
lake la moyoni....
Habari hiyo ililipotiwa jana na
magazeti ya udaku ikisimulia
jinsi Diamond na Uwoya
walivyonasana na hatimaye
kuvunja amri ya sita....
Katika habari hiyo, msemaji ni
Diamond na wapambe wake
ambao wanasimulia jinsi
walivyomnasa Uwoya na
kumfanya akubali kuvua
nguo....
Baada ya habari hiyo kutoka,
Uwoya alishindwa kuyaamini
macho yake na hii ndo kauli
yake aliyoitoa:
“Kuna saa najiuliza kwanin
ukimwamini mtu ndio
anageuka...kwanin ukiwa
muwazi watu wanakuchukulia
vbaya?
"Leo( jana) nimeumia sanaaa
kuliko sikuzote...sijaamini mtu
niliye mwamini kumuona kama
rafiki yangu anaweza kuongea
shit kuhusu mim...
"Au najiuliza siruhusiwi kuwa
na rafik wa kiume? Lakin sa
nyingine nakaa chin nasema
God ...u know me
better”... Uwoya

MWANAFUNZI AJIUA KISA KALAZIMISHWA KUSOMA.

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Tegeta Jijini Dar es Salaam. Bertha Amir (14)amejinyonga hadi kufa kupinga kulazimishwa na mama yake mzazi kusoma.

MAPYA YAIBUKA KUHUSU AGNESS MASOGANGE ALIYE KAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA


       BAADA ya kukamatwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, ukweli umeibainika kwamba dawa walizokamatwa nazo ni za kutengenezea dawa za kulevya, ambazo hazipatikani nchini na hazina matumizi yoyote.

Kupitia taarifa rasmi zilionesha kuwa, Chemical bashirifu ndiyo aina ya dawa walizokamatwa nazo nchini humo, ambapo wasanii hao walikamatwa nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Akizungumza ofisini kwake Dar es Salaam leo Kamishina wa Tume ya Kuratibu na Kuthibiti Dawa za Kulevya nchini, Christopher Shekiondo alisema kwamba kwa mujibu wa sheria za nchi, dawa walizokamatwanazo wasichana hao zinatumika kutengenezea dawa za kulevya, ambapo adhabu yao ni sawa na mtu aliyekamatwa na dawa za kulevya.

Wasichana hao walikamatwa Julai 5, mwaka huu nchini humo wakiwa shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya sh. bilioni 6.8 wakitokea Tanzania.

Shekiondo alisema dawa walizokamatwa nazo hazitumiki moja kwa moja kama dawa, bali zinatumika kutengenezea dawa za kulevya hivyo kwa mujibu wa sheria, adhabu zao zinakwenda sambamba na waliokamtwa na dawa za kulevya.

"Dawa hizo hazitumiki moja kwa moja bali zinatumika kutengenezea dawa za kulevya, hivyo kama taarifa tulizopata ni sahihi juu ya aina ya dawa walizokamatwa nazo na dawa hizi hazitumiki sana nchini, bali zinatumika Afrika Kusini, Asia pamoja na Ulaya," alisema Shekiondo.

Alisema kwa mujibu wa sheria za nchi, mtu anayekamatwa na dawa hizo mara nyingi hukumbwa na adhabu ya kuhukumiwa miaka 20 au kifungo cha maisha.

Akielezea kuhusu wasichana hao wawili kupanda kizimbana juzi, Kamishina huyo aliweka wazi kuwa hadi sasa hawajapata taarifa zozote rasmi, zaidi ya kupokea zile za awali za kushikiriwa na Jeshi la Polisi Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi.

Kamishina huyo alisema inaonesha Watanzania wengi wamekamatwa na dawa za kulevya nchini Brazil ambao idadi yao inafikia 109, ambapo wengi wao wameshahukumiwa.

Alisema watu hao wamekamtwa nchini humo, wakiwa na dawa aina ya cocain kwa ajili ya kusafirisha nchi nyingine, huku baadhi yao wamehukumiwa kunyongwa pamoja na kifungo cha maisha, ingawa idadi kamili ya watu hao bado haijafika rasmi.

"Tumepokea taarifa jumla ya Watanzania 109 wamekamtwa nchini Brazil, ingawa bado tunasubiri kujua ni wangapi waliohukumiwa kifo, pamoja na kifungo cha maisha," alisema Shekiondo.

Aliongezea kuwa baadhi ya nchi nyingine, ambazo Watanzania wanakamatwa na dawa hizo za kulevya wakiwa wanasafirisha ni China vijana 34, Kenya 30, Pakistani 16, Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai 14,  pamoja na nchi nyingine kama Japan, Argentina, Msumbiji, Afrika Kusini, Ureno, pamoja na Uingereza.

Akizungumzia hukumu ambazo zimeshatolewa baadhi ya nchi walizokamatwa Watanzania hao,, Kamishina huyo alisema Brazil ambayo ndiyo Watanzania wengi wamekamatwa idadi kamili, bado hawajapata ingawa Kenya tayari wapo waliohukumiwa kifungo cha maisha, huku wengine wakiwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 hadi 40, nchi China wapo waliohukumiwa kifo na kifungo cha maisha.

Shekiondo alisema Tanzania kwa sasa inajulikana kama ni njia ya kusafirisha dawa hizo.

Alisema kuna baadhi ya watu wanatumia maji kusafirisha dawa hizo, yaani meli, jahazi pamoja na mitumbwi, hivyo wana mikakati ya kutoa elimu kwa jamii kuhusu udhibiti wa matumizi ya dawa za kulevya.

Thursday, 4 July 2013

HUYU NI SHOGA NA ANAMAUMBILE KULIKO HATA WATOTO WAKIKE (UMBO NAMBA 8)

shilole ajui matumizi ya taulo avaa kwenda nalo supermarket

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
Paparazi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:
“Huku watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa taulo na kwenda nalo supermarket, huku ni kawaida tu.”

Saturday, 29 June 2013

WEMA KUBURUZWA MAHAKAMANI KWA KUTIRIRISHA MAJI MACHAFU MTAANI...!!



MKURUGENZI wa Kampuni ya Filamu ya Endless Fame, Wema Sepetu hivi karibuni amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya majirani zake kumshitaki kwenye serikali ya mtaa kufuatia tabia ya wafanyakazi wake kutiririsha maji machafu mtaani.  

Taarifa iliyolifikia gazeti hili inadai kuwa, majirani wa Wema katika eneo analoishi, Kijitonyama jijini Dar wamekuwa wakimlalamikia msanii huyo kwa kitendo hicho lakini imeonekana uvumilivu umewashinda. “Mara kwa mara wafanyakazi wake wamekuwa wakitiririsha maji hapa mtaani sasa leo tumeona tukamshitaki serikali za mitaa ili sheria ichukue mkondo wake,” alisema mmoja wa majirani wa staa huyo aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini. 

  Juni 26, mwaka huu Ijumaa lilifika kwenye nyumbani kwa Wema na kushuhudia maji yakitoka kisha kuzagaa mtaani na muda mfupi baadaye alifika Afisa Mtendaji wa Kata ya Makumbusho (jina halikufahamika mara moja) ambaye aligonga kwenye nyumba ya Wema, baada ya muda alitoka binti wa kazi aitwaye Bite. 

Katika mazungumzo yao, Bite alionekana kujitetea lakini baadaye ilibainika wana makosa na akatakiwa kwenda ofisi za kata kwa maelezo zaidi. Amri hiyo ilionekana kuwa ngumu kwa Bite na wafanyakazi wenzake ambapo busara zilitumika na kiongozi huyo wa serikali akataka walipe faini na kuwaonya waache tabia hiyo.
 

Kufuatia hatua hiyo, Bite aliingia ndani (inadaiwa alikwenda kumtonya Wema) ndipo alipotoka akiwa na fedha ambazo Ijumaa halikujua ni kiasi gani, wakasainishana (angalia picha ukurasa wa pili)kisha mchezo ukaishia hapo. 


Jitihada za kumpata Wema kuzungumzia sakata hilo ziligonga  mwamba kutokana na msanii huyo kutopokea simu na hata mwandishi alipofika nyumbani kwake aliambiwa hayupo.

PICHA 2 ZA ''OMMY DIMPOZ'' ZINAZOFAFANUA KAULI YA KUMKASHIFU MAREHEMU ALBERT MANGWEA.


 PICHANI Ni msanii ''Ommy Dimpoz'' Akilia jukwaani katika shindano la Miss Tabora Baada ya kupata taarifa za msiba wa marehemu Albert Mangwair kitu ambacho mpaka sasa baadhi ya mashabiki wa
Ommy Dimpoz wanakanusha kwamba haiwezekani Ommy amkashifu marehemu mangair habari hizi huwenda zikawa za wongo Aidha mwandishi alieandika habari hio hakumuelewa Ommy Dimpoz katika matamshi yao wakati mahojiano.

 Ommy Dimpoz akiimba kwa uzuni, Yani Kwa ufupi Show hii haikumuendea sawa..

EBWANAEEEEEEE!!!!! WEMA SEPETU NOMAAAA!!! SASA KWA WATANGAZAJI! MCHEKI MPENZI WAKE WA SASA FULU KUJIACHIA!!!

Siri Imefichuka.Tazama Picha ya Wema Sepetu Alivyofumaniwa Akiwa Anatomaswa Live na huyu jamaa ambaye inasemakana ndio Mpenzi Wake Siku Hizi.Huyu ni
Raheem Mtangazaji wa Times fm
ambaye pia ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar-Es Salaam.Mhhhhhhhhhhh!! Kazi kwako Wema yetu macho.


Thursday, 27 June 2013

BAADA YA OMMY DIMPOZI KUPIGWA NA CHUPA NA MAWE DODOMA ,HATIMAYE AFUNGUKA SOMA ALICHOANDIKA HAPA


 Haya ndio aliyoandika Ommy Dimpoz :

VIDEO ZA MSHIRIKI WA TANZANIA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Mshiriki wa  kiume   wa  Tanzania, Nando  ametutia  aibu  baada  ya  uvumilivu  kumshinda  na  kuamua  kufanya  tendo la  ngono  hadharani  akiwa  katika  jumba  la  big  brother....

Kamera  za  BBA zinamuonesha  wazi  Nando  akikata  mauno  kwa  mwanadada  Selly wa  Ghana  mithili  ya  mtu  ambaye  hajawahi  fanya  tendo  hilo  kwa  miaka  200  iliyopita

FEZA KESSY KUMJIBU NANDO KWA KUVUNJA AMRI YA SITA NDANI YA BBA


baada ya nando na selly kuvunja amri ya 6 mjengoni swali linakuja jeeeeee, Feza nae atavunja amri ya sita na o'neal????? maana inasemekana yupo kwenye penzi zito na O'neal wa Botswana, kafa kaoza na haskiii wala haoni, wanalala kitanda kimoja na kuamka wote, ma'denda' na ma hugs kwa sana mweeee!!!! sie ye2 machooo!!!! maana kwa nando mnachekelea je kwa feza mtachekelea ivoivooo????

Digger arrives at Mandela gravesite


The gravesite for the Mandela family. (Carl de Souza, AFP)
The gravesite for the Mandela family. (Carl de Souza, AFP)
Mthatha - Two hours after Mandela family members and government officials met at the family home in Qunu, a machine digger arrived at what is believed to be the planned grave site of Nelson Mandela.

Tuesday was a day of heightened activity after the world started preparing to take its leave of the 94-year-old, reported Beeld.

There was increased activity not only in Qunu but also at the Pretoria hospital where Madiba has been receiving treatment and at his former home in Vilakazi Street, Soweto.

On Tuesday, Mandela family representatives, local clan leaders and national government officials landed at Mthatha airport and met at the Mandela home for two hours before leaving again for Mthatha.

 Among them were Public Service and Administration Minister Lindiwe Sisulu and UDM leader Bantu Holomisa, who is said to be involved closely in the funeral arrangements.

After the meeting, Madiba’s grandson, Ndaba Mandela, then went to inspect the gravesite. The digger arrived about two hours later and was delivered by a truck. It has been parked about 150m from the gravesite.

Chief Mfundo Mtirara, who is related to Madiba, and is the headman of the Matyenenqgina near Qunu, said the family meeting was about “very sensitive issues” and the contents of the discussions were only meant for family.

Wednesday, 26 June 2013

PICHA:HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA BANDARI YA ZANZIBAR

Hii ni hatua nzuri ya maendeleo kwa nchi nzima....ukiangalia kwa
umakini picha hizi kwa ghafla
unaweza usiamini kama ni zanzibar labda baadhi ya muonekano wa
juu utagundua ndio kisiwani zanzibar...
Maendeleo yaliyokuwepo kwenye bandari hii ni makubwa sana
 ukilinganisha na Bandari ya zamani
ilivyokuwa inaonekana lakini kwa sasa ni kitu kingine,ukifika
bandarini hapo unaweza ukasahau
kama upo kisiwani hapo...!

Ni maendeleo makubwa kabisa kwa kisiwani zanzibar na ni
mfano wa kuigwa kokote pale kwa
hatua waliyopiga....
Zifuatazo Ni Picha za muonekano huo mpya wa Bandari ya kisiwani zanzibar....!!
Inasemekana Mmiliki wa Azam Ndugu Bakhresa ndio aliedhamini
mchakato mzima wa kutengenezwa kwa bandari hiyo...!!
PONGEZI KUBWA KWA ZANZIBAR



Muonekano kwa usiku kwenye geti la kutokea bandarini hapo...!!


Sehemu ya ndani kwenye mapokezi....!!










Sunday, 16 June 2013

HIZI NDIO PICHA ZA DADA ALIYEAMUA KUVUA NGUO HADHARANI NA KUBAKI UCHI BAADA YA KUZIDISHA POMBE HUKO MBAGALA ZAKHEIM...!!

DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulukana mara moja aliuacha hoi umati wa watu walikuwa kwenye baa moja hivi (jina kapuni) huko mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote na kubaki uchi wa mnyama na hivyo kusababusha hali ya taharuki katika maeneo hayo.







Chanzo chetu zha karibu kinadai ya kuwa dada huyo alifika maeneo hayo akiwa vizuri kabisa na hali hiyo ambayo ilionekana kuwa si ya kawaida ilianza pale alipoanza kuzitiririssha bia nyingi mno ambazo alikuwa akihongwa na vijana ambao alikuwa amekaa nao mezza moja..





Saturday, 15 June 2013

JOH MAKINI ALAZWA SINZA PALESTINA ANAHITAJI MAOMBI YAKO

Rapper Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana. Joh anadai malaria ni kali sana na anaendelea na sindano na drip. Like, Comment na share yako kumuombea ndugu yetu.

MATUSI KWA MANGWEA T.ID AMUAHIDI OMMY DIMPOZ KUMCHAPA MAKONDE KAMA MTOTO

Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu Albert wallahi mungu 
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"

TEAM ANAcONDA YA JIDE YAFUNIKA, NYUMBANI LOUNGE YAFURIKA



ONYESHO la mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ kutimiza miaka 13 katika muziki, limefana usiku wa kuamkia leo katika eneo la maegesho ya magari kwenye ukumbi wa Nyumbani, Lounge, eneo la Kinondoni, Dar es Salaam kwa mamia kujitokeza kiasi cha kujaza eneo hilo, hadi kupishana ikawa taabu. Watoto wa mjini wanasema ilikuwa funika bovu- ndiyo shoo hiyo ilikuwa nzuri mno, ya kistaarabu, yenye mashamsham ya aina yake.
Jide akikumbatiana na Profesa Jay


Jay akipagawisha


Jay akisema na nyomi


Mzee Kitime akimpiga picha Komando Kalala wakati anaimba 


Komando Kalala na mkewe jukwaani


Msanii Mango Star na nyoka


Mango Star na nyoka

Wasanii nguli wa Hip hop waliomsindikiza Jadyee katika shoo hiyo, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Joseph Haule na Juma Nature na kundi lake wanaume Halisi nao walifanya mambo mazuri jukwaani kiasi cha kuiongezea utamu shoo hiyo. Kufika saa 3:00 usiku tayari Machozi Band inayomilikiwa na Jide ilikuwa jukwaani kuanza kutumbuiza kabla ya kumpisha rapa Wakazi kutoka Ukonga, baadaye bendi ya M ikiongozwa na Grace Matata kwa shoo za utangulizi. Saa 5:00 usiku, Jide akapanda jukwaani na kuibua shangwe nzito kutoka kwa mamia waliokuwa wamefurika katika eneo hilo. Jaydee alianza na wimbo wa Nilishakuwaga na Wangu, baadaye akaimba Nakuhitaji, Moto, Mambo Bado, Yeye, Malaika, Siri Yangu, Wanock Nok kisha kumalizia na Single Boy katika awamu ya kwanza. Baada ya hapo, Jide akasema ilipotimu Saa 6:00 usiku ameingia katika mwaka mpya tangu azaliwe hivyo mashabiki wakamuimbia ‘Happy Birth Day’ kisha akateremka kwenda kukumbatiana na mama yake mzazi, Martha Mbibo na kumpa zawadi ya fedha zote alizokuwa ametuzwa jukwaani. Jide alirejea jukwaani na kuimba kwa ufupi nyimbo alizowahi kurekodi na wasanii Man Ngwair na Langa Kileo ambao hivi sasa ni marehemu, kabla ya kumpisha Mh. Mbunge wa Mbeya Mjini, Sugu ambaye aliimba nyimbo tatu tu, lakini alisisimua mashabiki ile mbaya. Sugu alianza na Hakuna Matata akimshirikisha Mkoloni, Sugu na kumalizia na Mambo ya Fedha ambao ulimrejesha jukwaani Jide. Kutoka hapo, ikawadia zamu ya Wanaume Halisi kutoka Temeke, wakiongoza na Juma Kassim Kiroboto ‘Sir Nature’, ambao nao walifanya balaa vile vile na kuurusha umati ile mbaya.
Msanii M2 The P akizungumza jukwaani

KR Mulla
Jaydee na mama yake


Sir Nature


Nature na Doro
Sinta akimpiga picha Nature
Wakati Nature anaimba, mpenzi wake wa zamani Christine Manongi ‘Sinta’ alikuwa bize kumpiga picha ‘mzee’ wake wa kitambo, kiasi cha mmoja wa viongozi wa kundi hilo, Kiboya kupora kipaza sauti na kutamka Baba Sinta akimtania Nature, jambo ambalo liliwafanya watu washangilie.    Nature kabla ya kuanza kuimba alimpandisha jukwaani msanii M 2 P aliyezushiwa kifo wakati akiwa amelazwa Afrika Kusini sambamba na Man Ngwair. MP alisalimia na kushukuru kwa dua za Watanzania wakati akiwa taabani wadini, kwani zimemponya na akatumia fursa hiyo kumuombea swahiba wake Ngwair apumzishwe kwa amani peponi. Ndipo Wanaume wakaanza vitu vyao, wakipiga nyimbo za Sonia, Hakuna Kulala, Mzee wa Busara, Ladhia, Haipotei, Dance With Me na Jimwage.


Jaydee akikusanya fedha alizotuzwa


Anaziweka kwenye boksi kabla ya kweneda kumpa mama yake. Alyeshika boksi ni King Kiboya


TK wa M Band...


Maeneo kama haya Mh Sugu huwa si mkali...anajua kutabasamu


Rapa kutoka Ukonga


Alikuwepo...Mgaya Kingoba Mhariri wa Michezo gazeti la Habari Leo


Kutoka kulia Baraka Msilwa, Francis Kifukwe na mkewe

Wanaume walipoondoka akaibuka msanii mcheza ngoma za asili huku akichezea nyoka, Mango Star ambaye aliwaacha watu midomo wazi pale alipokuwa akimnyonya nyoka upande wa kichwani. Akafuatia mkongwe Komando Hamza Kelele ambaye kwanza alimpandisha mkewe, Stella John Momose Cheyo jukwaani kumtambulisha, kisha akaimba nyimbo na Tumetulia. Ikawadia zamu ya Profesa Jay, ambaye aliimba Joto Hasira pamoja la Lady Jaydee, baadaye, Teja, Yahya na Joto tena. Jaydee akateremka na kumuacha Jay amalizie shoo naye akamalizia vizuri kwa nyimbo za Hapo Vipi, Nikusaidiaje na Kamili Gado. Watu kadhaa waliofika Nyumbani Lounge kushuhudia shoo hiyo walilazimia kugeuka na kuondoka kwa sababu ukumbi ulikuwa ‘umejaa na hakuna pa kukanyaga’. Kwa ujumla shoo hiyo ilipendeza, ilikuwa bab kubwa.