PICHANI
Ni msanii ''Ommy Dimpoz'' Akilia jukwaani katika shindano la Miss
Tabora Baada ya kupata taarifa za msiba wa marehemu Albert Mangwair kitu
ambacho mpaka sasa baadhi ya mashabiki wa
Ommy Dimpoz
wanakanusha kwamba haiwezekani Ommy amkashifu marehemu mangair habari
hizi huwenda zikawa za wongo Aidha mwandishi alieandika habari hio
hakumuelewa Ommy Dimpoz katika matamshi yao wakati mahojiano.Ommy Dimpoz akiimba kwa uzuni, Yani Kwa ufupi Show hii haikumuendea sawa..
No comments:
Post a Comment