NORA WA BONGO MOVIE
Yanayotokea katika sanaa ya muziki na maigizo hapa nchini hayajaanza leo.Ni uchafu wa muda mrefu sana.....
NORA WA BONGO MOVIE
Sisi hatutalifumbia macho.Tututaendelea kuwaanika mpaka hapowatakapo badilika........
Dalili zinaonesha kuwa angalau, matukio haya ya kupiga pcha za utupu yamepungua kwa kiasi fulani......
Kama
unakumbukumbu nzuri, Nora ni miongonimwa wasanii wakongwe hapa
nchini.Baada ya umaarufu kuzidi, msanii huyu naye aliamua kupigapicha
za utupukama ilivyo kwa wasanii wengine kama akina wema
sepetu.......
Picha hizo zilitoka sambamba na picha za aibu za Aisha Madinda alizopiga akiwa Afrika Kusini.......
AISHA MADINDA
Tunaamini
kwamba matukio wanayofanya dada zetu hayakubaliki kisheria....Hivyo
tunatoa ushauri kwa dada zetu kuachana na vitendo hivi viovu ambavyo
havina tija hata kidogo.......
Ni vyema wakakumbuka kuwa waoni vioo vya jamii,hivyo wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa
No comments:
Post a Comment