Sunday, 12 May 2013

YOUNG KILLER AWAJIBU BLUE NA MNAZARETI KWA KUWACHANA LIVE JUKWAANI

msanii chipukizi YOUNG KILLER kama jian lake lilivyo aliikili kweli dodoma jana baada ya kupagawisha ma elf ya

mashabiki katika uwanja wa jamuhuri jijini dodoma.
kijana huyo aliamua kuwachana live wasanii wenzake akiwemo mr blue kua akilewa tila lila  basi pemba wata mla kiboga.
na suma mnazareti asijiite mnazareti kwani yeye sio Yesu mnazareti ni yesu tuh.
YOUNG KILLER alionesha kukubalika na jamii nzima kwani kila mtu alikua akimshangalia  kwa umahiri wake wa mi stari na kumiliki jukwaaa


No comments: