Sunday, 12 May 2013

SHILOLE ADATISHA VIJANA WA DODOMA

 msanii wa bongo fleva na bongo movie shilole aliomba kina mmoja aweze kumpa campani jukwaani
 na kumpa vitu visito mpaka kijana kuishiwa nguvu na kuja kijana mwingine shilole mwenye uwezo
 mkubwa wa kuchezesha sehemu za mwili wake hasa makalio aliwadatisha sana vijana hao wa dom
 yote hayo yalitokea katika shamra shamra za kuzuia unyonywaji wa kazi za wasanii tanzania
 ikiwa imeandaliwa na cluods media.

No comments: