Tuesday, 14 May 2013

WAFUNZI 30 WA MANZESE SEKONDARI WAANGU KWA MKUPUO


Wanafunzi zaidi ya 30 wa shule ya Sekondari manzese muda huu wanaanguka hovyo huku wakijibamiza katika miti na kusema maneno yasiyoeleweka kutokana na kinachohisiwa kuna ni nguvu za giza zimetanda shuleni hapo.
Hadi sasa chanzo cha tatizo hilo hakijajulikana kuwa nini.

No comments: