Saturday, 20 July 2013

BAADA YA KUFUTURISHA,DIAMOND ASOMA DUA NYUMBANI KWAKE...

Huu ulikuwa wakati maalumu kwaajili ya Dua takatifu kumuomba
Mwenyezi Mungu Rehema zake zitawale juu yetu
na kutuepusha na mabaya ya dunia na kutufanyia wepesi kwenye
 maisha yetu ya kila siku sambamba na
kuwaombea wasiojiweza,yatima,wajane,wagonjwa na vilema...


Namshukuru
Mungu kwa kufanikisha jambo ili kwenda
kiufasaha zaidi,napenda pia kumshukuru kila mmoja alieweza
kujumuika na mimi na familia yangu
kufanikisha dhifa hii........

Napenda kuchukua nafasi hii kukujuza kwa picha mtu wangu
wa kweli waeza cheki picha za tukio zima wakati
wa Dua inasomwa nyumbani, home sweet home kwa mama Naseeb Sinza......







Kisomo kikiendelea.....


Bi Sandrah akitia ubani....
Dada yangu Queen Darlene akitia ubani....
Hamza Bala....
Ommy Dimpoz akukosa nae kama mtoto wa kiislamu....
Rama tonser....


Shetta akukosekana wakati wa kusoma dua hii.....
Twinsfashion....
Nikiweka ubani kuitimisha Dua hii kama mlengwa...
Emma & Emma Platnumz usishangae hawa wote ndo majina yao....



Dianna dada ake mimi & Mama yangu mimi Bi Sandrah....

Rommy Jones akiwashukuru wageni kwa kujumuika nasi
siku ya leo kwenye Futari na kisomo

Nikitoa sadaka kwa watoto wanaolelewa kwenye kituo cha watoto yatima waliofika kufturu
nami nyumbani kwangu kidogo nipatacho basi mungu amenijaalia niweze kugawana nao..











Kutoka nje nikakutana na Dad G,Guru G Love alikuwa
amefika muda lakini kutokana na Dua kuendelea
ndani atukupata muda wa kusalimiana....
Kutoka kushoto,Ommy Dimpoz,Shetta the Don,Producer Nguli
 nchini Tanzania mi namuita Dad G wewe
waeza muita Dad pia au Guru G Love na mimi mwenyewe waeza
nihita Naseeb au kichwa kama mama
yangu aniitavyo....
Mapenzi tele kwa watoto hawa waliojumuika nami hakika
mwenyezi mungu awabariki
na azidi kuwaongoza katika njia zake....


Baada ya Dua nikiteta jambo na Ustaadh akinipa
mawaidha mawili matatu juu ya mwezi huu mtukufu

Thursday, 18 July 2013

MTOTO ABAKWA NA KUWEKWA MIWA SEHEMU ZA ZILI MPAKA KUFA...!!! (+18)


Vanusia Silva Pereila mdada mwenye miaka 9 mkazi wa kijiji kimoja nchini brazil,mapema wiki hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya.



 
MAELEZO ZAIDI KUTOKA CHANZO CHA HABARI HII HAYA HAPA.
The horrific crime happened in Arataca, state of Bahia, Brazil. Vanusia Silva Pereira was taken to a vacant lot, punched in the face, raped and then had a sugar cane forced up her snatch.

The victim’s father, identified as Mr. Wilson, an agricultural laborer told police that Vanusia chose bad company to hang out with lately and that was her demise. Police do not suspect that her murder was a crime of passion, however coroner who examined the body said the woman had been subjected to exceptional violence before death which brought the possibility of this being the crime of passion back into question.

UKWELI KUHUSU BINTI KIZIWI KUNYONGWA CHINA BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUU HAPA


MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda’ wa biashara hiyo haramu, Ijumaa Wikienda lina mtiririko wote.

Hivi karibuni, Video Queen wa Wimbo wa Masogange, Agnes Gerald ‘Masogange’ amedaiwa kunaswa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ akiwa na kilo mia moja na hamsini za unga unaoaminika ni sehemu ya madawa ya kulevya. Ameshapanda kortini mara moja Ijumaa iliyopita.
Wakati Masogange akisota Sauzi kwa madai hayo mazito, habari ya mjini kwa sasa ni ya mtalaka wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ally Mohammed ’Z-Anto’, Sandra Khan au Binti Kiziwi kudaiwa kutupwa jela miaka mitano kwa sakata la ‘unga’.

HABARI YA MJINI KWA SASA NI BINTI KIZIWI
Kuanzia Alhamisi iliyopita, habari zilizoligubika Jiji la Dar ni kuwa Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya.
Kwa mujibu wa mitandao, Binti Kiziwi alinyongwa wiki mbili zilizopita.
Hata hivyo, mitandao hiyo haikusema kama mrembo huyo alinyongwa hadi kufa au la! Sheria za hukumu hiyo, mwenye hatia anatakiwa kunyongwa hadi kufa.


UKWELI WA BINTI KIZIWI NI HUU
Baada ya kusambaa kwa manenomaneno hayo, Ijumaa Wikienda liliingia mtaani kuisaka familia ya Binti Kiziwi lakini bila mafanikio.
Kwenye makazi ya mama yake, Buguruni, Dar, majirani walisema mzazi huyo amehama baada ya kufunga ndoa siku chache kabla ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

IJUMAA WIKIENDA LAZIDI KUCHIMBA
Ijumaa Wikienda lilizidi kuzama ndani katika kuchimbua tetesi hizo ambapo lilifanikiwa kumpata ndugu wa kiume wa Binti Kiziwi na kufanya naye mazungumzo kama ifuatavyo:
Wikienda: Samahani, nimeambiwa wewe ni ndugu wa Binti Kiziwi, ni kweli?
Ndugu: (huku akitaja uhusiano wao) Ni kweli, nikusaidie nini?
Wikienda: Kuna manenomaneno kwamba Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya, ni kweli?
Ndugu: Sijui hizo habari watu wanazipatia wapi?! Watanzania wana maneno sana. Si kweli ndugu mwandishi.
Wikienda: Ukweli ni upi?
Ndugu: Kwanza kabisa Binti Kiziwi hakukamatiwa China, alikamatiwa Hong Kong, kwa sheria za kule mtu akipatikana na hatia ya kukutwa na ‘unga’ anahukumiwa jela tu.
“Binti Kiziwi amehukumiwa miaka mitano jela Hong Kong, na si China. Watu wajue hilo na miaka mitano si mingi, atatoka.”
Wikienda: Nashukuru sana kwa ushirikiano ndugu yangu.
Ndugu: Asante, waambie Watanzania waache kuongeaongea sana.

IREN ALIA NA ULIMBUKENI WA DIAMOND

Kufuatia kuripotiwa kwa habari
iliyopewa kichwa "DIAMOND
AFICHUA KISA CHA KULALA NA
UWOYA!" , mwanadada Irene
Uwoya ameamua kuvunja
ukimya na kueleza dukuduku
lake la moyoni....
Habari hiyo ililipotiwa jana na
magazeti ya udaku ikisimulia
jinsi Diamond na Uwoya
walivyonasana na hatimaye
kuvunja amri ya sita....
Katika habari hiyo, msemaji ni
Diamond na wapambe wake
ambao wanasimulia jinsi
walivyomnasa Uwoya na
kumfanya akubali kuvua
nguo....
Baada ya habari hiyo kutoka,
Uwoya alishindwa kuyaamini
macho yake na hii ndo kauli
yake aliyoitoa:
“Kuna saa najiuliza kwanin
ukimwamini mtu ndio
anageuka...kwanin ukiwa
muwazi watu wanakuchukulia
vbaya?
"Leo( jana) nimeumia sanaaa
kuliko sikuzote...sijaamini mtu
niliye mwamini kumuona kama
rafiki yangu anaweza kuongea
shit kuhusu mim...
"Au najiuliza siruhusiwi kuwa
na rafik wa kiume? Lakin sa
nyingine nakaa chin nasema
God ...u know me
better”... Uwoya

MWANAFUNZI AJIUA KISA KALAZIMISHWA KUSOMA.

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Tegeta Jijini Dar es Salaam. Bertha Amir (14)amejinyonga hadi kufa kupinga kulazimishwa na mama yake mzazi kusoma.

MAPYA YAIBUKA KUHUSU AGNESS MASOGANGE ALIYE KAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA


       BAADA ya kukamatwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, ukweli umeibainika kwamba dawa walizokamatwa nazo ni za kutengenezea dawa za kulevya, ambazo hazipatikani nchini na hazina matumizi yoyote.

Kupitia taarifa rasmi zilionesha kuwa, Chemical bashirifu ndiyo aina ya dawa walizokamatwa nazo nchini humo, ambapo wasanii hao walikamatwa nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Akizungumza ofisini kwake Dar es Salaam leo Kamishina wa Tume ya Kuratibu na Kuthibiti Dawa za Kulevya nchini, Christopher Shekiondo alisema kwamba kwa mujibu wa sheria za nchi, dawa walizokamatwanazo wasichana hao zinatumika kutengenezea dawa za kulevya, ambapo adhabu yao ni sawa na mtu aliyekamatwa na dawa za kulevya.

Wasichana hao walikamatwa Julai 5, mwaka huu nchini humo wakiwa shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya sh. bilioni 6.8 wakitokea Tanzania.

Shekiondo alisema dawa walizokamatwa nazo hazitumiki moja kwa moja kama dawa, bali zinatumika kutengenezea dawa za kulevya hivyo kwa mujibu wa sheria, adhabu zao zinakwenda sambamba na waliokamtwa na dawa za kulevya.

"Dawa hizo hazitumiki moja kwa moja bali zinatumika kutengenezea dawa za kulevya, hivyo kama taarifa tulizopata ni sahihi juu ya aina ya dawa walizokamatwa nazo na dawa hizi hazitumiki sana nchini, bali zinatumika Afrika Kusini, Asia pamoja na Ulaya," alisema Shekiondo.

Alisema kwa mujibu wa sheria za nchi, mtu anayekamatwa na dawa hizo mara nyingi hukumbwa na adhabu ya kuhukumiwa miaka 20 au kifungo cha maisha.

Akielezea kuhusu wasichana hao wawili kupanda kizimbana juzi, Kamishina huyo aliweka wazi kuwa hadi sasa hawajapata taarifa zozote rasmi, zaidi ya kupokea zile za awali za kushikiriwa na Jeshi la Polisi Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi.

Kamishina huyo alisema inaonesha Watanzania wengi wamekamatwa na dawa za kulevya nchini Brazil ambao idadi yao inafikia 109, ambapo wengi wao wameshahukumiwa.

Alisema watu hao wamekamtwa nchini humo, wakiwa na dawa aina ya cocain kwa ajili ya kusafirisha nchi nyingine, huku baadhi yao wamehukumiwa kunyongwa pamoja na kifungo cha maisha, ingawa idadi kamili ya watu hao bado haijafika rasmi.

"Tumepokea taarifa jumla ya Watanzania 109 wamekamtwa nchini Brazil, ingawa bado tunasubiri kujua ni wangapi waliohukumiwa kifo, pamoja na kifungo cha maisha," alisema Shekiondo.

Aliongezea kuwa baadhi ya nchi nyingine, ambazo Watanzania wanakamatwa na dawa hizo za kulevya wakiwa wanasafirisha ni China vijana 34, Kenya 30, Pakistani 16, Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai 14,  pamoja na nchi nyingine kama Japan, Argentina, Msumbiji, Afrika Kusini, Ureno, pamoja na Uingereza.

Akizungumzia hukumu ambazo zimeshatolewa baadhi ya nchi walizokamatwa Watanzania hao,, Kamishina huyo alisema Brazil ambayo ndiyo Watanzania wengi wamekamatwa idadi kamili, bado hawajapata ingawa Kenya tayari wapo waliohukumiwa kifungo cha maisha, huku wengine wakiwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 hadi 40, nchi China wapo waliohukumiwa kifo na kifungo cha maisha.

Shekiondo alisema Tanzania kwa sasa inajulikana kama ni njia ya kusafirisha dawa hizo.

Alisema kuna baadhi ya watu wanatumia maji kusafirisha dawa hizo, yaani meli, jahazi pamoja na mitumbwi, hivyo wana mikakati ya kutoa elimu kwa jamii kuhusu udhibiti wa matumizi ya dawa za kulevya.

Thursday, 4 July 2013

HUYU NI SHOGA NA ANAMAUMBILE KULIKO HATA WATOTO WAKIKE (UMBO NAMBA 8)

shilole ajui matumizi ya taulo avaa kwenda nalo supermarket

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
Paparazi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:
“Huku watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa taulo na kwenda nalo supermarket, huku ni kawaida tu.”