Zitto
akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la
majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto
amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea
posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku
No comments:
Post a Comment