Thursday, 13 February 2014

YANGA YAZUILIWA UWANJA WA NDEGE KWA MUDA, WAKAGULIWA KWA KUHISIWA KUWA NA MADAWA YA KELEVYA



Leo Asubuhi Team ya Yanga Imekiona cha Moto baada ya kuzuiwa uwanja wa Ndege wa JKIA Hapa Dar Wakielekea Comoro Kwa Ajili ya Mchezo wa Marudiano ...Mtoa nyeti Amehabarisha kuwa Walihisiwa wamebeba mzigo ikabidi upitishwe ukaguzi wa nguvu na kusababisha safari yao kuchelewa kwa muda wa Nusu saa

No comments: