MCHEZA MIELEKA MAARUFU KAMA BIG DADDY V AFARIKI DUNIA JANA:
Big Daddy V enzi za uhai wake.
Big Daddy V akiwa kazini enzi za uhai wake.
Mwanamieleka
wa WWE, Nelson Frazier maarufu kama Mabel, Viscera na Big Daddy V
amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo jana Jumanne. Big Daddy V amefariki
akiwa na umri wa miaka 43.
No comments:
Post a Comment