Thursday, 13 June 2013

BREAKING NEWS:LANGA AMEFARIKI DUNIA


Langa Kileo (msanii wa Hip Hop 
Tanzania, pichani) amefariki dunia leo hii.
Langa alipelekwa hospitali akiwa hajitambui. Anadaiwa kuwa
 alikumbwa na Malaria kali

 Hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.

Uchunguzi wa chanzo cha
 kifo chake bado unaendelea. 
Msanii Langa aliwahi kutamba na kikundi cha Wakilisha pamoja na 
witness na sara ni miongoni mwa wasanii
 wakongwe wa bongo flava nchini Tanzania

No comments: