Lakini jana katika taarifa yake hapa, Makalla alisema yupo tayari kukutana na pande hizo mbili kusaka..read more
Sunday, 12 May 2013
NAIBU WAZIRI ATOA NENO KUHUSU JIDE NA RUGE WA CLOUDS MEDIA
NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makalla
amejitokeza kusuluhisha mgogoro kati ya Kampuni ya Clouds na msanii
Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.
Clouds na Jaydee wamejikuta katika mgogoro siku za karibuni,
unaohusishwa na madai ya msanii huyo kuminywa kazi zake kuchezwa katika
vituo vya redio na televisheni, mali ya kampuni hiyo ya utangazaji.
Lakini jana katika taarifa yake hapa, Makalla alisema yupo tayari kukutana na pande hizo mbili kusaka..read more
Lakini jana katika taarifa yake hapa, Makalla alisema yupo tayari kukutana na pande hizo mbili kusaka..read more
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment