Wednesday, 10 April 2013

YANGA NDIO SISI TFF WAFUASI TUH..............

Yanga imepinga mpango wa TFF kubadili ratiba ili michezo yake ionyeshwe katika kituo cha Supersport. Kupitia kwa makamu mwenyekiti wa klabu Clement Sanga, Yanga wamesema mpango huo unawatia hasara kwa kuwa watatakiwa kucheza michezo mitatu ndani ya siku 8 badala ya mechi 2. Pia wamesema uonyeshwaji wa michezo hiyo utapunguza mahudhurio ya watazamaji uwanjani kutokana na wengi kutokwenda wanapojua itaonyeshwa katika Televisheni. Sanga alimalizia kwa kusema ni afadhali kituo hicho kingekuwa kinawapa fedha kufidia hasara hiyo. Wewe ni shabiki wa Yanga? Nini maoni yako.
Yanga imepinga mpango wa TFF kubadili ratiba ili michezo yake ionyeshwe katika kituo cha Supersport. Kupitia kwa makamu mwenyekiti wa klabu Clement Sanga, Yanga wamesema mpango huo unawatia hasara kwa kuwa watatakiwa kucheza michezo mitatu ndani ya siku 8 badala ya mechi 2. Pia wamesema uonyeshwaji wa michezo hiyo utapunguza mahudhurio ya watazamaji uwanjani kutokana na wengi kutokwenda wanapojua itaonyeshwa katika Televisheni. Sanga alimalizia kwa kusema ni afadhali kituo hicho kingekuwa kinawapa fedha kufidia hasara hiyo. Wewe ni shabiki wa Yanga? Nini maoni yako.

No comments: