Wednesday, 12 February 2014

TISHIO BONGO MOVIE KUTOKA DODOMA (DANIEL BAZA) WAKONGWE WATETEMEKA

 Daniel baza msanii kutoka dodoma atangaza vita kwa wasanii wakubwa wote wakae vizuri kwan yeye amekuja kuleta mapinduzi katika game, msanii huyo baada ya maongezi marefu na mwandishi wetu Noddy jr alimwambia haogopi mtu na kwenye game hana masihala
 msanii huyoa alietamba vilivyo na kazi kama chozi la zina ambayo inasambazwa na watever films amesema amejianga vilivyo na kazi zake zainazokuja. wasanii wakongwe baada ya taarifa hio wastuka na kujipnga vilivyo. DANIEL BAZA amesema hana hofu na kazi za wasanii wakubwa kwani wanaonekana kuishiwa idea na kurudia rudia kwenye kazi zao. '' Naona kazi nyingi za hawa wasanii walio tutangulia kuishiwa idea na kurudia rudia mara shikamoo mzee, mara naenda kwa mzee ni heri wafanye vitu vya tofauti ngojeni muone vitu ninavyo vipika mimi kwa sasa vipo jikoni mda si mrefu vitatoka''
msanii huyo anaonekana kujiamini sana kwa kazi zake zijazo na nyingine BONGO MOVIES STAR WAKE UP DANIEL BAZA IS COMING WITH HIGH SPEED.
SOURCE; noddy jr

No comments: