MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo...... soma zaidi http://tinyurl.com/o9o9ygp
![Maiti yapigwa makofi
MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo...... soma zaidi http://tinyurl.com/o9o9ygp](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn2/t1/s526x296/1796564_603067886430234_968341515_n.jpg)
No comments:
Post a Comment