Thursday, 23 May 2013

UMATI WA WATU WAMZINGIRA DIAMOND WALETA MTAFARUKU MSIKTINI....

Baada ya kukaa na familia ya wafiwa na kuwafariji.....
ilikuwa ni muda wa kwenda kuswalia
maiti....na kama kawaida ya sheria za dini ya kiislamu
....wanaume ndio uruhusiwa kufanya hivyo...
Niliondoka na kuamua kuelekea msikitini kwa mguu
mahana mskiti ulipo hamna njia ya kupita kwa gari na ndo
shortcut ambayo tulielekezwa.....



Diamond akiwa sambamba na mkurugenzi wa Clouds Media,Ruge Mutahaba wakielekea
msikitini kusalia maiti....



Ghafla umati wa watu ulimzingira na kumuweka mtu kati....

Hapa akiwa amefika salama msikitin kwa nje alikutana
 na msanii Berryblack
kutoka zanzibar
Ili ni eneo la msikiiti.....wananchi walimzingira kwa wingi....wenye simu zenye uwezo wa kupiga
picha walizitoa na kuanza kumwekua mwekua 


Hali hii ilizidi hata muda wa kutawaza ulipofika waliongozana nae....

Baada ya hali kuwa vile jeshi la polisi lilibidi kuingilia kati hali ile isije ikaleta vurugu
na kuharibu mipango ya msiba.....




No comments: