Thursday, 9 May 2013
maaskari wa 3 na raia mmoja mbaroni kwa kukutwa na fuvu la kichwa cha binadamu
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linawashikia askari polisi watatu wa
wilayani Kilosa na raia mmoja kwa kupatikana na fuvu La kichwa cha
binadamu anaedaiwa kuuwawa hivi karibuni. Inasemekana Polisi hao
walimbambikiza mfanyabiashara mmoja kesi hiyo, wakati wakifanya upekuzi
kwenye nyumba yake na kisha kuweka fuvu hilo chini ya gari kwa siri,
huku wakimtaka mfanyabiashara huyo kuwapa shilingi milioni 25, kwa
tuhuma za kupatikana na fuvu la kichwa cha binadamu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment