Wednesday, 22 May 2013

EAC ni kwa maslahi ya serikali na wafanyabiashara wakubwa; raia waachwa nje – Utafiti


Matokeo ya kwanza ya utafiti juu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeonyesha kwamba jumuiya hiyo iliundwa kama chombo kilichoandaliwa kuwepo kwa maslahi ya serikali na wafanyabiashara wakubwa.

Jumuiya hiyo yenye wananchama watano ingawa ilianzishwa upya kuwa ‘’jumuiya yenye misingi ya watu’’ wenyewe wa Afrika Mashariki, imebainika ushiriki wa raia wa kawaida katika mchakato wa mtagamano huo ni mdogo mno. Wanachama wa EAC ni pamoja na Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Jukwaa la Wataalam la Afrika Mashariki (VEAF), lililofanya utafiti huo imebaini pamoja na mambo mengine kwamba mpaka sasa mwenendo wa..Read More
Source: thehabari.com

No comments: