Aikuwa kwenye ratiba ya video launching ya Muziki Gani....
Lakini kama ndugu yangu aliposikia
Kuna show yetu baada ya kuwa na tour ndefu Barani Ulaya
akuona tabu kuja kuona show...
Lakini ilifika muda nipo stejini baada ya muziki kukatishwa akapanda
stejini na kutumbuiza
Kwa dakika kadhaa tu.....It was crayyziee...!!
Much Love to Him...... |
No comments:
Post a Comment