Tuesday 27 August 2013

DEMU MKENYA AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA DIAMOND PLATINU


Demu Mkenya Angel Maggy, aliyedaiwa kutoka na Staa wa Bongo Fleva Nasib Abdul‘Diamond Platinum’ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha Tujuane cha kituo cha Tv cha KTN cha nchini humo amefunguka na TEENTZ kuhusiana na uhusiano wake na msanii huyo wa Bongo


Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Jijini Nairobi alisema kuwa hana uhusiano na msanii huyo na anashangaa hayo maneno kusambaa na kwamba yeye ni shabiki mkubwa wa Diamond.
‘No …Diamond is apal lyk any other..yy shld I date him??Am not in love with him’alisema Angel.
Alipoulizwa kwanini ameamua kuchora tattoo ya msanii huyo kwenye mkono wake alisema kuwa kuchora…


Jast tat I got atattoo named diamond doesn’nt mean ama dating him’alisema Angel.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari za burudani vya Kenya, zilisema kuwa ishu ya kutoka na Diamond ilianza kuvuma mara baada ya kufanya shoo mbili katika Miji ya Nairobi na Mombasa nchini humo,ambapo aliporejea Bongo ndipo ukaibuka mlipuko wa habari zilizomhusu na mrembo huyo.


Jast tat I got atattoo named diamond doesn’nt mean ama dating him’alisema Angel.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari za burudani vya Kenya, zilisema kuwa ishu ya kutoka na Diamond ilianza kuvuma mara baada ya kufanya shoo mbili katika Miji ya Nairobi na Mombasa nchini humo,ambapo aliporejea Bongo ndipo ukaibuka mlipuko wa habari zilizomhusu na mrembo huyo.

Ilisemekana kuwa alipokuwa akifanya shoo kwenye Ukumbi wa KICC, Nairobi siku ya kwanza, Diamond aliimba wimbo wake wa Ukimuona maalum (dedication) kwa ajili ya Angel, jambo lililomfanya mrembo huyo kuonekana ‘spesho’ miongoni mwa maelfu waliohudhuria onesho hilo.

Imeripotiwa kuwa baada ya shoo hiyo kumalizika USIKU, Angel alionekana ‘beneti’ na Diamond wakielekea katika hoteli aliyofikia staa huyo Nairobi.

DIAMOND AHOJI... "MIMI NAONA NI SAAWIA KABISA........AU WEWE UNASEMAJE"....???

Kwenye Mapenzi kuna mengi ya kupitia,mapenzi ni
kama maisha ya kila siku,kuna kupata na kukosa
lakini ukijaaliwa uzima unaendelea kupigana hadi
mwisho cha msingi kuto kukata tamaa...


Kwenye mapenzi yakubidi uwe mvumilivu,mwenye
 mapenzi ya kweli na muaminifu ili kulinda
penzi la dhati toka kwa mwenzi wako pindi
unapokuwa kwenye dimbwi la mapenzi....
Ikitokea bahati mbaya siku ukamfumania mpenzi
wako na Kisha ukaweza kumsamehe Basi wewe
ndiye my #Number One........Binafsi kigezo hiko
 naweza tumia mimi binafsi kama Naseeb Abdul
Juma,maswali nakuachia wewe
mtu wangu wa kweli Je wewe ukimfumania mpenzi
wako waweza msamehe na kuendelea
kuwa na mahusiano kati yenu wawili......??
Msamaha utakaokutoka ni kweli ni
wa dhati toka moyoni......?? Mi nimemaliza
nahitaji sikia vigezo vyako kumjua number one wako..
.

MCHAWI AANGUKA AKIWA KWENYE HARAKATI ZA KULOGA


Mchawi hivi karibuni kaleta kizaa zaa huko Dzivarasekwa  alipokutwa na 'birthday suit' yake(uchi)

 Sabina Rokuzhe alikiri kuwa yeye ni mchawi na amedondoka alipokuwa anaruka kwenye ungo akitokea kwenye trip yake ya kuloga huko Masvingo.


Alikutwa kwenye nyumba ya Mbuya Annah Kamupaundi. AkaaAnza kuwaomba watu waliomzunguka wasimpige ,akasema pia katembelea nyumba kadhaa katika eneo hilo.


Mmoja wao aliyemuona asubuhi mapema ni Mrs Alice Hundi (37) ambae alisema aliamka baada ya kusikia mayowe ya mwanamke kwenye saa nane hivi usiku.


"Nilipomuona yuko uchi,nilimmwagia  chumvi usoni, akaanguka na kuanza kujizungusha zungusha chini. Tuliita polisi na akachukuliwa"


Polisi walitoa uhakika kwamba amechukuliwa na atapewa msaada wa psychiatric.

Sunday 18 August 2013

FEZA KESSY MATITI YOTE NJE NJE UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA LADY JAY DEE






Video ya yahala ilizinduliwa rasmi jana pande za nyumbani lounge. Baadhi ya wasanii kama Feza Kessy ambaye alikuwa mgeni rasmi, Vanessa Mdee  na  Mkolon...

Pamoja  na  kuwa  mgeni  rasmi, Feza  anadaiwa  kuwa  miongoni  mwa  wasanii  waliokuwa  wamevaa  vibaya huku sehemu kubwa ya matiti yakiwa wazi

Vazi   lake  lilikuwa  likiyaanika  matiti  yake  hadharani, hali  ambayo  iliwafanya  hata  watoto  wayashuhudie.

Saturday 17 August 2013

POLISI FEKI AJITETEA......ADAI KUWA NJAA NDO ILIMFANYA AJIFANYE TRAFFIC.......


MKANDA mzima wa askari bandia wa Kikosi cha Usalama Barabarani (trafiki), James Juma Hussein (45)  aliyekamatwa saa 1:30 asubuhi ya Agosti, 14, 2013 maeneo ya Tabata Kinyerezi Mnara wa Voda, jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya sare zake za kazi, umepatikana....
  
Kwa nini James alikamatwa? Asubuhi hiyo, afisa mmoja wa trafiki mwenye cheo cha ukaguzi alikuwa akipita eneo hilo kwenda kazini, alipomwona James alisimamisha gari, akashuka kwenda kumsalimia. 


Lakini alishangaa kuviona vifungo vya shati lake ni vya kawaida (vya polisi vinatakiwa kuandikwa police force yaani ‘jeshi la polisi’), akamtilia shaka. 

Afisa huyo Alimkamata ‘askari feki’ huyo  mkazi wa Kimara Matangini, Dar na kumfikisha kwenye Kituo cha Polisi Stakishari, wilayani Ilala, Dar akafunguliwa jalada namba STK/RB/15305/2013 KUJIFANYA ASKARI ili taratibu za kisheria zichukuliwe juu yake.

Ndani ya kituo cha polisi, James alihojiwa haya: Askari: Wewe mtu wa wapi?
James: Mnyamwezi wa Tabora.
Askari: Una muda gani ukijifanya trafiki?
 James: Wiki moja sasa.
Askari: Hii kofia ya polisi uliipata wapi?
James: Nguo nyeupe juu ya kofia niliitengeneza kienyeji, krauni, tepe za usajenti na mkanda ni za shemeji yangu alikuwa polisi Tabora, ni marehemu, alikuwa akiitwa Shaban.

James aliwaambia polisi kuwa suruali nyeupe ya kitrafiki aliishona mtaani lakini kamba ya filimbi na kizibao cha kung’ara vilikuwa vya polisi.

Askari: Uliwahi kuwa polisi?
James: Niliwahi kupata mafunzo ya upolisi katika Chuo cha Polisi Moshi (CCP) mwaka 1990-91 lakini nilifukuzwa kazi kwa sababu nilikwenda muziki. Nilirudi Tabora nikawa mkulima na mke wangu na mtoto mmoja ambao wote sasa ni marehemu.

Ndani ya nguo za kitrafiki alizokuwa amevaa James, alikutwa na suruali ya bluu na fulana ya kijani.

James alisema njaa ndiyo iliyomfanya ajifanye trafiki na ‘kuwapiga mikono’ madereva, hasa wa daladala ili anapowakuta na makosa kwenye magari yao ajipatie chochote.


 Kamishina wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova amethibitisha kukamatwa kwa polisi huyo feki

AJIFUNGUA KOBE BAADA YA MIEZI 10 YA UJAUZITO...............



A tradomedical practitioner in Lagos has claimed that a 20-year old woman delivered a tortoise and a baby girl in his clinic. The woman, Rasheedat Raimi, said she had carried the pregnancy for 10 months before she eventually delivered the baby girl and the tortoise at a trado-medical clinic on Mutairu Street, Off Ijegun Road, outskirts of Lagos. She was in pains as she talked to P.M.NEWS about the strange delivery. “I came to Yakafi for prayers because of the terrible pains I was having in my stomach. Immediately I got here, prayers were offered and immediately there was a burst of water and blood under me.
 The tortoise came out with the placenta and the baby came out later. I couldn’t believe my eyes, but I was very weak. I was happy the pain left me. I felt relieved after the delivery. Ithank God,” she told P.M.NEWS slowly. On whether she attended ante-natal clinic before the delivery, the young woman said: “I carried the pregnancy for 10 months. I did scans several timesand nobody told me that I was carrying tortoisein my womb. What they alwaystold me was that I am alright and would deliver at the right time,” she added. “This is amazing, but true. She did not register with my clinic for ante-natal. When she came here with her people, she was in pains, we didn’t know she will deliver here

Friday 16 August 2013

Lulu kama Diamond Platnumz, kuzindua Foolish Age mlimani City, soma hapa


Lulu kama Diamond Platnumz, kuzindua Foolish Age mlimani City, soma hapa
Hatimaye mwanadada Elizabeth Michael (Lulu) yupo teyari kuachia filamu yake ya kwanza toka atoke jela, filamu aliyoipa jina la Foolish age inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 30 mwezi huu.
Akiandika kwenye ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii leo mchana lulu aliandika.
“Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu....!!!ninafuraha ya kuwafahamisha kuwa TAREHE 30/8/2013 ndio siku nitakayozindua movie ya mpya ya FOOLISH AGE....hatimaye narudi kazini!!!!Uzinduzi utafanyika katika ukumbi wa MLIMANI CITY....kutakuwepo na wasanii mbalimbali wa muziki....na pia LADY JAY DEE pamoja na MACHOZI BAND atakuwepo pia!!!nahitaji support ya mashabiki wote wa LULU na mashabiki wa BONGO MOVIE.....
Filamu hii inasambazwa ka kampuni ya PROINPROMOTERS.
Huu utakuwa ni uzinduzi mkubwa wa filamu nchini baada ya msanii wa upande wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz kufanya shoo kubwa ya mziki kwenye ukumbi mkubwa na maarufu wa mlimani city jambo ambalo sio la kawaida kwa wasanii wa filamu na muziki hapa nchini.

Mtoto wa Riyama ageuka kuwa kero kwa waongozaji wa filamu


Mtoto wa Riyama ageuka kuwa kero kwa waongozaji wa filamu
Mtoto wa kike wa mwigizaji Riyama aliyejifungua hivi karibuni amegeuka kuwa kero wa waongozaji wa Filamu wa nchini kutokana na mwanadada huyo kwenda naye kwenye kila location anapotengeneza Filamu hivyo kusababisha usumbufu katika utengenezaji wa Filamu GPL wameripoti.
Akizungumza na gazeti la ijumaa mmoja wa waongozaji wa Filamu alisema kuwa mwanadada Riyama asipoangalia anaweza kupotea kisanii kwani kila unapotaka kumchezesha kwenye Filamu lazima umuandalie chumba cha kulala yeye na familia yake kutokana na mtoto wake mdogo huyo.
Habari inasema kuwa eti, mwanadada Riyama hawezi kwenda kulala mwenyewe na kumuacha bwana wake huyo, sasa baadhi ya wasanii wanamkwepa kitu ambacho kitamuathiri.
Naye Riyama Akizungumzia hilo alisema: “Kulala chumba kimoja na wasanii wenzangu ni kitu nisichokipenda. Ndiyo maana huwa napenda niwe na chumba changu mimi na baba mtoto wangu, mwanangu na dada wa kazi, kama mtu hataki basi siwezi kucheza filamu yake.”

WALTER CHILAMBO AFUNGUKA BAADA YA NEY WA MITEGO KUSEMA ANAMAISHA DUNI..LICHA YA USHINDI WA MIL 50



Baada ya maneno na tuhuma nzito za Ney wa Mitego dhidi ya Mshindi wa Epiq Bongo Star Search mwaka 2012, Walter Chilambo kuwa 'huenda' amedhulumiwa zawadi yake ya ushindi, Shilingi Milioni 50 na waratibu wa shindano hilo kwa sababu mpaka sasa yupo katika maisha duni, Msanii huyu amevunja ukimya na kusema kuwa yeye yupo vizuri tu.
Walter amesema kuwa maneno haya hayana ukweli wowote na yeye anaishi vizuri tu na kwa Ney, Hadhani kama alikaa chini na kufikiria kabla ya kuongea kuhusiana na issue hii katika wimbo wake, wala hakufanya uchunguzi wowote ambao uliomhusisha yeye.
Walter amesema kuwa yeye na Ney hawana ukaribu wowote, na walishawahi kukutana hivi karibuni na alipomuuliza ni kwanini amemuimba vile katika wimbo wake, Ney alimwambia kuwa 'asipanik' then akapotezea na mambo issue nyingine na kisha kutimua zake.
Walter amemaliza kwa kusema kuwa, Maneno haya hayamuumizi vile hayana ukweli wowote, na vilevile hayawezi kumuondolea mashabiki wake.

MWAKYEMBE AWATAJA WANAOHISIKA NA KUPITISHA WENYE MADAWA AIRPORT, SOMA HAPA.





Waziri wa Uchukuzi,Mh.Dkt. Harison Mwakyembe akiongea na waandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dares salaam juu ya hatua zilizochukuliwa na Wizara ya Uchukuzi juu ya sakata la madawa ya kulevya yaliyokamatwa huko Afrika Kusini hivi karibuni.Dkt. Mwakyembe amewafukuza kazi mtandao mzima uliohusika kusaidia kusafirisha madawa hayo, pia Waziri Mwakyembe ameliagiza jeshi la Polisi kuwakamata wafanyakazi hao na kuwaunganisha na wenzao kujibu mashitaka ya jinai.




Waziri wa Uchukuzi,Mh.Dkt. Harison Mwakyembe akionyesha picha ya Msanii Agness Gelard maarufu kwa jina la Masogange mbele ya waandishi wa habari,masogange alikamatwa na madawa ya kulevya huko nchini Afrika Kusini hivi karibuni
.



waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Uchukuzi akiwa anafafanua hatua zilizochukuliwa na Serikali kuushughulikia mtandao mzima uliosaidia kupitisha madawa ya kulevya

Saturday 10 August 2013

BAADA YA COCA COLA KUMLETA DIAMOND NA NDEGE BINAFSI KUTOKA KENYA HIKI NDIO AMEFIKIA KUKIFANYA



Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.

Baada ya jana Cocacola kumchukulia private jet toka Nairobi hadi Dar es Salaam, Bongo Flava Prince, Nasib ameingia mzigoni kushoot tangazo jipya la Cocacola. Kwenye picha za utengenezaji wa tangazo hilo alizoziweka kwenye Instagram, Diamond anaonekana akitembea huku akinywa soda hiyo.


Source:Bongo5

HAYA SASA DIAMOND KAFANYA TENA MAMBO MOMBASA AWAACHA BADO NA KIU



Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kumaliza mfungo
huu wa Ramadhani pia kutuweka salama hadi leo...
Sikukuu yangu nimeilia nchi Kenya lakini nilikuwa na
kibarua kukonga nyoyo za maelfu ya mashabiki zangu
jijini Nairobi.Kwangu hii ilikuwa mara ya pili kufanya show
 kenya,lakini ni mara ya kwanza kabisa
kufanya show jijini Nairobi,kutokana na kiu ya mashabiki
 zangu nchini humo nikaona zawadi ya Eid hii
iwadondoke wao.....It was crayzz yanii niliposhuudia umati wa
 watu wakiimba nyimbo sambamba na mimi,na kufurika hadi getini
kiukweli nilifurahi sana kwa hali iliyokuwa usiku wa jana.....
Nikiwa na team yangu nzima ya wasafi,stejini na
silaha zangu 4 hatari kwenye Mashine alikuwepo
Dj Rommy Jones kama kawaida stage manager
Qboy msafii alikuwepo kuhakikisha usalama upo saawia kabisa.....!!

UNAWEZA CHEKI PICHA KADHAA ZA TUKIO ZIMA
 LA SHOW NCHINI KENYA
KWENYE SIKUKUU YA EID...
..
Backstage nikisubiria go ahead nikafanye maujanja yangu kwa steji...
Ajajajaja....hapo sasa,ndo vile twafanyaga kwa jukwaaaa.....

Qboy Msafii & Dj Rommy Jones...

Ebhana eeeh watu bado wanataka niendeleee.....mpera mpera
 tu,afe kipa afe beki lakini ushindi lazima


Siwasiki watu wangu wa Nairobi.....nimekuja kuwabamba ile mbaya....
Tumeelewana watu wangu wa kweli........Mi naona kama muda umeisha vile....
Si ndo mashetani ya kigoma yakapanda ni kuanza kuwapelekea
kama Bongo tu...

Thursday 8 August 2013

HILI NDO JAMBAZI SUGU LA ATM DAR ES SALAAM LILILO NUSURIKA KUUWAWA



Dar es Salaam. Msako wa wezi wa kwenye Mashine za Kutolea Fedha (ATM), umeanza kuzaa matunda baada ya raia wa Bulgaria kukamatwa akiiba kwenye ATM ya Bank of Africa (BOA), Tawi la Afrikana, Kinondoni, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa za benki, mtuhumiwa huyo ambaye 
hakutajwa jina lake alikamatwa baada ya kamera maalumu zilizowekwa kwenye ATM za BOA, kumtambua kuwa ni mwizi sugu wa benki hiyo anayetafutwa.
Mmoja wa wafanyakazi wa benki hiyo ambaye hakupenda kutajwa jina kwa kuwa si msemaji, alisema tukio hilo lilitokea jana saa 12 asubuhi baada ya mtuhumiwa huyo kuwekewa mitambo maalumu ya kumnasa.
Alisema benki hiyo ilipelekewa malalamiko na baadhi ya wateja kwamba wakienda kutoa fedha kwenye ATM wanakuta akaunti zao hazina salio wakati wanaamini zilikuwa na fedha.
Chanzo hicho cha habari kilidai kuwa baada ya kupelekewa malalamiko hayo, waliweka mitambo maalumu ya kuwawezesha walinzi wa maeneo ya ATM za BOA kumbaini mtu atakayetoa fedha kwa njia ya wizi.
“Kama Benki tuliweka mtambo maalumu na mtuhumiwa huyo alionekana kwenye mtambo wetu, hivyo tuliwaagiza walinzi wetu watakapomwona mtu huyo wamkamate haraka sana,”alisema.
Alisema mtuhumiwa huyo alianza mchezo huo kwa muda mrefu ambapo kwa kutumia kadi za ATM zisizojulikana idadi yake, alikuwa anakwenda kwenye ATM mbalimbali za benki hiyo na kutoa fedha hadi Sh10 milioni.
Kuhusu tukio la jana, mmoja wa walinzi wa BOA aliyejitambulisha kwa jina moja la Frenky alisema mtuhumiwa huyo alipofika kwenye ATM hiyo aliingia na kuchukua fedha ambazo alizipeleka kwenye gari lake. Frenky alisema baada ya kupeleka fedha hizo, alirudi kwa mara ya pili ili achukue fedha nyingine ndipo walinzi hao walimkamata na kumfunga pingu.
“Huyu mtuhumiwa mwenye asili ya Kiarabu alifika na gari lake saa 12 asubuhi, aliingia kwenye ATM na kutoa fedha ambazo hazikujulikana ni shilingi ngapi na kuzipeleka kwenye gari lake, baadaye alirejea tena kwa ajili ya kutoa fedha zingine, wakati anaingia ndipo alipokamatwa na mlinzi aliyekuwa analinda hapo,” alisema Frenky.
Kamanda wa Polisi Kinondoni, Camilius Wambura alikiri kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na jeshi hilo huku uchunguzi dhidi yake ukiendelea.
“Ni kweli taarifa nimezipata, mtuhumiwa amekamatwa, bado hatujajua ni kiasi gani ambacho ameiba kwa kutumia mtandao, tunaendelea na uchunguzi,” alisema Wambura.
Tukio kama hili lilishawahi kutokea mkoani Mwanza Februari 19 mwaka huu na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na maofisa ya Benki ya NMB liliwatia mbaroni watu watatu ambao walidaiwa kuiba kiasi cha Sh700 milioni kwa nyakati tofauti

Tuesday 6 August 2013

DIAMOND NOMA SANA: ONA ALICHOKIFANYA SOUTH AFRICA ALAFU MSEME DIAMOND ANALOGA-HARD WORK PAYS BWANA


Bongo Flava Prince, Diamond Platnumz yupo nchini Afrika Kusini kishule na kikazi pia. Staa huyo wa Kesho ameshoot video ya wimbo wake mpya ambao bado haujulikani ni upi mpaka sasa.
Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.
0b54d01efdd411e2bd3c22000ae90db5_7
Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa vizuri
0f7a71cefdef11e2999e22000a1f8afc_7
dd5ff8c8fdce11e2aa0322000a1fa408_7
Inaonekana hii, Diamond Platnumz aka Coca Boy amejiandaa kwenda international zaidi.
Picha: Babutale (Instagram)
Source:Bongo5

PETER OKOYE WA P SQAURE AMPA DEMU WAKE RANGE ZAWADI YA KUMPENDA



With so Little to Say But Much To Express…….Peter ”P-Sqaure” Okoye Got Engaged to Lola OmoTayo his longTime GirlFriend and baby Mama….Peter proposed to the mother of his two children with a brand new Range RoverPictures : Peter P Square Okoye Engagement gift to Lola omotayo


                                    Pictures : Peter P Square Okoye Engagement gift to Lola omotayo


Pictures : Peter P Square Okoye Engagement gift to Lola omotayo

Saturday 3 August 2013

ROSE NDAUKA AWASHUKIA WALIOZUSHA NA KUSEMA ALIINGIA GESTI NA MSANII WA BONGO FLAVA



Mwanadada Rose Ndauka amewawakia baadhi ya waandishi wanoandika habari zauongo kuhusu yeye kufuatia hivi karibuni kuripotiwa kuwa amekutwa kaitika nyumba ya wageni akivunja amri ya sita na mwanamziki mmoja wa muziki wa kizazi kipya.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Rose aliandika

Dah magazeti yanapenda chokochoko kweli haswa wakimuona mtu katulia....kama hujui uliza sio tu unaongea au unaandika kitu ambacho ukijui......mnaudhi sana

Huku akionesha picha ya gazeti moja la udaku lilikouwa na habari hiyo.



Hapo awali iliripotiwa na baadhi ya mitandao ya habari na baadhi ya magazeti kuwa mwanadada huyu alionekana akipapaswa ndani ya gari na baadaye yeye na mwanamuziki huyo aliyotajwa kwa jina la dogo  Nasry kwenda kuvunja amri ya sita katika hoteli ya chumba hicho.

Source:Bongo Movies

ALIYEKUA MWANAFUNZI WA ST. JOHN UNIVERSITY ASHIDWA MSOSI NCHINI INDIA AMKUMBUKA BIBI ESTHER CHAMWINO

 
PAUL MASELE aliekua mwanafunzi wa st john university of Tanzania ambaye kwa sasa yupo inchini india akijiendeleza na masomo ameshindwa kula chakula cha india na kukiri kukumbuka cha kula cha mama maarufu mitaa ya chamwino dodoma BIBI ESTHER nakuamua kuingia jikoni mwenyewe nakuangusha ugali wa nguvu  angalia picha









SOUCRCE; ANYALOV

Friday 2 August 2013

DIAMOND! MWAMBIE ZITTO KABWE AFANYE SIASA AACHANE NA BONGO FLAVA"NEY WA MITEGO



Mfalme wa kudiss Tanzania, Nay wa Mitego amerejea tena kuchafua hali ya hewa kwa kutengeneza mijadala kwenye radio na kwenye mtandao kwa ngoma yake mpya, Salam Zao.


Kwenye Salam Zao, Nay ameendeela kufanya kile akifanyacho kwa uzuri (do what he does best) kuponda.
 
Awamu hii list ya aliowadiss imeongezeka zaidi na kuingia pia kwenye siasa huku akiendelea kuwapa madongo wana hip hop wenzie.


Ameanza kwa kumdiss Madee kwa kusema kuwa yeye ndio rais wa Manzese na kwamba Madee amesanda. “Mi ndo rais wa Manzese yule tozi kasanda, Manzese mikono juu naiongoza kamanda,” anachana Nay.


Nay wa Mitego ameendelea kuwadiss wana hip hip huku akiijita kuwa yeye ndio gangster rapper na anatengeneza hela huku wengine wakinuka vikwapa. Hakusita pia kuwarushia bombshell Weusi. “Yo Mchomvu wape salam ‘Kubumkubum’ waimbie watakufa njaa muziki umebadilika,” anarap Nay.



Nay pia amemdiss Zitto Kabwe kwa kurap:
 
 “Word up Diamond, mwanangu wewe si mtoto wa Kigoma, mpe salama Zitto Kabwe mwambie afanye siasa aachane na Bongo Flava huku hatumtaki kabisa, maneno mengi, propaganda hajui kutekeleza, Kigoma Allstars tayari kawatelekeza.”

Rapper huyo pia amerap kuwa wapo watu waliojipatia utajiri kutokana na misiba ya Mangwea na Kanumba.


“Wanamiliki gari, wameota na vitambi kwa hela za rambirambi, mkizingua nawataja,”anasisitiza. Anasema tangu kifo cha Kanumba Bongo Movies imekufa na haiuzi tena.


Pia hajamuacha mwanzilishi wa shindano la Bongo Star Search Rita Paulsen kwa kudai kuwa licha ya kuwapa zawadi kubwa washindi, wameendelea kupigika mtaani.

“Hizi Salam ziende kwa madam Rita na Bongo Star Search. Mshindi analipwa nini mbona kama magumashi?! Namuona Walter Chilambo kapigika kama zamani, Haji Ramadhani kachoka yupo kitaani. Nauliza milioni hamsini zao anazila nani, acheni ubabaishaji wekeni mambo hadharani.”



Source:Mpekuzi

SINTAH "SISI MASTAA WENYE MASTERS DEGREE HATUWEZI PIGIZANA KELELE NA MASHOROKO MEGENI"



Sintah leo kaja na haya : jisomee mwenyewe

"Ukifungua gazeti la babkubwa toleo jipya ,kurasa ya katikati shurti utakutana na kichwa cha habari MASTAA Ambao shule imelala kichwani, seriously kuna siku mdau alinitumia comment maana mimi na magazeti ni hasi na chanya, 
kilichoandikwa ni ukweli mutupu jamani khaaa sasa mtu mwenye MA apigizane kelele na mashoroko mageni aaaah wapiii??

though babkubwa mmejichanganya sana maana mmeandika ndivyo sivyo one n only CEO anayetambulika ana MA International Relations and Diplomacy naomba ieleweke hivyo, sijui kwa wengine mliowaja kama ni sawa ama ila me mmenimixia sana na ma post graduate ya nini mieee?

 CEO's 
MA International Relations n Diplomacy
BA Public Administration and Management  (kwa wale ambao mme cram  BA hamkawii kusema Business Admin khaaaa ni Bachelor of Arts in PAM muelewe sasa.

hope tumeelewana ila sivibaya nikawataja na wenzangu ambao tuna hadhi ya kipekee (sio mchezo,, sonyaa, kwanini ilikushinda kama ni rahisi?? ukipata jibu utakuwa umenielewa chezeyaa kufanya research weweee)

Mwegelo Jokate 
Black Rhino
Dj Fetty
Nikki wa Pili
Hamisi Mwinjuma
Ally Remtullah
na mwenyewe CEO wa ukweeeh 

UJUMBE
unaweza ukawa kama  hao hapo juu ila acha majungu, umbea, fitina, hela unazozipata kama ni mwanadada usijipeleke kununua lace wig, sijui Galaxy zichange mdogo mdogo ujitupe kile chuo kinaitwa V*** fasta .

The roots of education are bitter, but the fruit is sweet.

okaybyeeee..
Swaum Maqbul" Sintah

BAADA YA ROSE NDAUKA KUHUSISHWA KATIKA FUMANIZI...!! HAYA NDIYO MANENO YA MCHUMBA WAKE ROSE KUHUSU SAKATA HILO



BAADA ya msanii wa filamu nchini Rose Ndauka kuripotiwa kufumaniwa akiingia gesti na msanii chipukizi wa muziki wa bongo fleva Nassoro Ayoub 'Dogo Nasry' huku akiwa amevaa baibui kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani,  mumewake mtaarajiwa Maliki Bandawe 'Chiwaman' amjia juu msanii huyo kwa madai ya kumchafua mpenzi wake.

Akizungumza jijini Dar es Salaam Chiwaman aliweka wazi kuwa msanii huyo Nasry ambaye alimuomba Rose aweze kushiriki kwenye video yake, walishindwa kufikia maamuzi kutokana na kiwango cha malipo kuwa madogo, na badala yake msanii huyo alimuomba wapige picha kama ukumbusho.

Alisema kuwa kitendo hicho cha kupiga picha na msanii huyo wakati wapo katika mazungumzo ya awali ya kukubaliana malipo ndizo picha alizotumia msanii huyo na kudai kuwa alikuwa naye nyumba ya wageni kitendo ambacho si cha kweli.

"Hawa wasanii wachanga wanatafuta umaarufu vibaya kwa kuwachafua watu, ilikuwa amemuomba Rose ashiriki kwenye video yake na ndipo walipokutana kwa ajili ya mazungumzo hayo na alikuwa na mdogo wangu sasa hapo masuala ya gesti yametokea wapi" alisema Maliki.

Aliongezea kuwa "kama nilikuwa sijui hicho kitu na kwa jinsi mambo yalivyokuwa ningeweza kumuacha mchumba wangu ninayempenda kwa dhati, ila msanii huyo alichokifanya siyo jambo sahihi, kwani alimuomba apige naye picha na Rose alikubali huku bila kujua nia yake ".

Maliki alisema kuwa huyo msanii anatafuta umaarufu kwa kuchafua majina ya watu wengine, kitu ambacho hakina mashiko kwenye jamii.

ROSE NDAUKA ANASWA AKIPAPASWA NDANI YA GARI KABLA YA KUPELEKWA HOTELINI



Rose Ndauka  au  Aisha  anaweza  kuwa  ameitia  najisi  funga  yake  baada  ya  kunaswa akiingia  hotel  moja   iliyoko  kinondoni  jijini  Dar  kwa  kile  kilichoelezwa  ni  kwenda  kuivunja  amri  ya  sita  na  mwanamziki wa  bongo  fleva  Nassoro  Ayoub  "Nasry"   au  Tajiri Boy
Rose ambaye alisilimu mwaka jana  na  kupewa  jina  la  Aisha  baada  ya  kuchumbiwa  na mwanamziki  mwasisi  wa  kundi  wa  TNG Squad, Malik Bandawe, alifumwa na  kamera  za wakazi wa jirani na  hoteli  hiyo  mwishoni  mwa  wiki  iliyopita.....



Shuhuda  wa  tukio  hilo  amedai  kwamba  majira  ya  mchana  kweupe  gari  aina  ya  Toyota Mark  X lenye  rangi  nyeusi  liliwasili  kwenye  viunga  vya  hoteli  hiyo  na  kusimama  kwa  takribani  dakika  10  kisha  likaondoka  na  kwenda  kupaki  sehemu  nyingine  ambapo  ni  umbali  mfupi  toka  hotelini  hapo...

Kitendo  hicho  kiliibua  mashaka  miongoni  mwa  watu  hasa  kutokana  na  vioo  vya  gari  hilo  kuwa  tinted  hivyo  kutowaonesha  waliokuwemo  ndani...

"Walipoondoka  na  kupaki  palipojificha  tuliamua  kuwasogelea  ili  tujue  ni  akina  nani

"Baada  ya  muda, kioo  cha  dereva  kilishushwa kidogo, tukamuona  dogo  anayefanana  na Diamond  akiwa  anampapasa  demu  aliyekuwa  pembeni  yake...

"Tulipoona  hivyo, tulidhana  mnyamwezi  ameamua  kumaliza  mambo  yake  ndani  ya  gari, hivyo  tukaziweka  simu  zetu  standby  kwa  ajili  ya  kushuhudia" alisema shuhuda  huyo

Baada  ya  muda, mlango  wa  kulia  ulifunguliwa  kisha  wakamuona  dogo  aliyetambuliwa  kwa  jina  la  Nasry

"Kumbe  hakuwa  Diamond,alikuwa  ni  dogo  Nasry.Tulipotupa  jicho  ndani, tulihamaki  kumuona  Rose  Ndauka  akibadili  nguo  na  kujitanda  baibui. 

"Nadhani  alifanya  hivyo  ili  watu  wasimjue  pindi  atakaposhuka  kwenye  gari  maana  aliposhuka  tu, waliongozana  na  dogo  Nasry  kwa  mwendo  wa  kasi  hadi  ndani...


"Toka  walipoingia  ndani  hadi  walipotoka  iliwachukua  kama  masaa  matatu  hivi.Wakati  wa  kutoka, Nasry  alilifuata  gari  hadi  mlangoni  na  kisha  Rose  akaingia  na  kutokomea"...Kilimalizia  kusimulia  chanzo  hicho

Source: KIU